Man United Yabanwa mbavu na Tottenham 2-2

Mashabiki wa Tottenham Hotspur waliokuwa wanamtaka Mwenyekiti wa klabu hiyo Dany Levy kuondoka klabuni hapo wameondoka angalau kwa furaha kufuatia Spurs kutoka na alama moja dhidi ya Manchester United wakitoka nyuma magoli mawili na…

Barcelona Yachapwa na Rayo Valllecano

Klabu ya Barcelona imekutana na kipigo cha tatu cha msimu cha bao 2-1 dhidi ya Rayo Valllecano kwenye mechi ya Ligi Kuu nchini Hispania La Liga. Mabao ambayo yameipa ushindi huo wa kihistoria kwa upande wa Rayo Valllecano yamefungwa na…

Simba Njiani Kuikabili Wydad Casablanca

Simba SC imesafiri kwenda Morocco kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wenyeji wao, Wydad Club Athletic robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mtanange utakaopigwa uwanja wa Mohamed V Jijini Casablanca. Wekundu wa Msimbazi…

Kocha wa Muda Tottenham Stellini Afutwa Kazi

Aliyepewa nafasi ya kuifundisha Tottenham Hotspur Cristian Stellini amefutwa kazi ya ukocha wa muda ndani ya Tottenham baada ya muda mfupi akiinoa timu hiyo mechi nne pekee. Maamuzi ya kumfuta kazi ni baada ya timu hiyo kufungwa bao 6-1…

Barcelona yaipiga Atletico Madrid 1-0

FC Barcelona imeitandika Atletico Madrid bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga mtanange uliochezwa uwanja wa Camp Nou Leo Jumapili. Bao pekee kwenye mechi iliyokuwa 50 kwa 50 kutokana na mashambulizi ya awamu kwa awamu…