• Friday, May 27, 2022
  • | Choose Language:
  • Swahili
  • English

Amani Sports News Amani Sports News -

  • Home
  • PREMIER LEAGUE
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • BUNDESLIGA
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • LA LIGA
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • LIGUE 1
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • UEFA
    • Champions League
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
    • Europa League
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
  • Africa
    • KPL
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
    • TPL
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
  • SERIE A
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • Contact
Amani Sports News
  • Home
  • Bruce Amani
  • Page 166

Author

Bruce Amani 3898 posts 0 comments

EPL

Cavani atokea bechi na kuiadhibu Southampton wakati United ikishinda 3-2

Bruce Amani Nov 29, 2020
Klabu ya Manchester United imeibuka kidedea dhidi ya Southampton katika mtanange wa Ligi Kuu nchini England uliopigwa dimba la St Mary's, ambapo Southampton walitangulia kujipatia bao 2-0 hadi mapumziko lakini ingizo jipya la United Edinson…
Africa

Masaibu yaendelea kuwaandama Gor Mahia, wapoteza mbele ya APR 2-1

Bruce Amani Nov 29, 2020
Miamba ya soka la Kenya ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu nchini humo Gor Mahia imeangukia pua kwa kupoteza 2-1 dhidi ya APR ya Rwanda kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mtanange uliopigwa dimba la Stade des Nyamirambo Kigali. Gor…
Africa

Namungo wafanya kweli Kombe la Shirikisho Afrika, waichabanga 3 – 0 Al Rabita ya Sudan Kusini

Bruce Amani Nov 28, 2020
Kikosi cha kocha wa Namungo FC Hemed Morocco kimeanza vyema mbio za kuwania taji la Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Al Rabita ya Sudan Kusini usiku wa leo mtanange uliopigwa dimba la Azam Complex, Chamazi nje…
TPL

Yanga yavuta alama tatu muhimu kwa JKT na kuongeza mwanya usukani kwa alama saba

Bruce Amani Nov 28, 2020
Miamba ya soka nchini Tanzania yenye masikani yake Jangwani Yanga SC imeongeza pengo kileleni mwa ligi la pointi hadi kufikia saba dhidi ya Azam baada ya ushindi wao wa Jumamosi dhidi ya JKT Tanzania  wa goli 1-0 mchezo uliopigwa dimba la…
EPL

Penati tata ya lala salama ya Brighton yainyima Liverpool alama tatu

Bruce Amani Nov 28, 2020
Kwenye mchezo mgumu, uliojawa na matumizi ya nguvu kwa kiasi kikubwa kikosi cha Liverpool kilichopo chini ya Mjerumani Jurgen Klopp kimegawana alama na Brighton ya sare ya goli 1-1 mchezo wa Ligi Kuu nchini England uliopigwa leo Jumamosi.…
Bundesliga

Bayern Munich mwendo mdundo wa kupata ushindi yaichapa Stuttgart 3-1

Bruce Amani Nov 28, 2020
Bayern Munich imeendeleza mwendo mzuri wa matokeo na kuwa kinara katika msimamo wa Bundesliga baada ya kikosi hicho cha Kocha Hans Flick kutoa dozi ya goli 3-1 dhidi ya Stuttgart mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani. Stuttgart walianza…
Football

Tetesi za Mastaa Ulaya: Tagliafico afunga ndoa mpya na Ajax awazima Chelsea, Manchester City

Bruce Amani Nov 28, 2020
Mkurugenzi wa Michezo wa Borrusia Dortmund Michael Zorc amesema anatazamia fowadi wao raia wa Norway Erling Braut Haaland 20, ataendelea kubakia klabuni hapo kwa muda mrefu zaidi. Mchezaji huyo amekuwa kwenye ubora tangu atue Dortmund…
EPL

Mashabiki 2,000 kuitazama Tottenham Hotspur dhidi ya Arsenal katika dabi ya London

Bruce Amani Nov 28, 2020
Klabu ya Tottenham Hotspur imekusudia kuwaruhusu mashabiki 2,000 kuingia uwanjani kwenye mechi ya dabi ya Kaskazini mwa London ya Ligi Kuu nchini England dhidi ya Arsenal, mtanange utakaopigwa Disemba 6 mwaka huu. Spurs ni miongoni mwa timu…
Europa League

Mikel Arteta amtaka Nicolas Pepe kuongeza ubora

Bruce Amani Nov 27, 2020
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amemtaka winga wake ghali Nicolas Pepe kuboresha kiwango chake baada ya kuhusika kwenye ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Molde katika mchezo wa Ligi ya Europa. Arteta anasema hayo ikiwa ni siku nne pekee tangu Pepe…
Football

Tetesi za Mastaa Ulaya: Eriksen ashawishika kwenda Arsenal, Everton kuwavuta mastaa wa Tottenham…

Bruce Amani Nov 26, 2020
Arsenal wamepewa ofa ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Denmark na Inter Milan Christian Eriksen 28 ikiwa ni miezi 10 pekee aliyokaa Italia akitokea Tottenham Hotspur. Inter Milan watajaribu kumsaini staa wa Ufaransa na Chelsea Oliver…
Previous 1 … 164 165 166 167 168 … 376 Next
Latest Results
  • EPL
  • La Liga
  • Bundesliga

KPL

Tusker FC Wabanwa na Nzoia Sugar KPL

May 23, 2022

Homeboyz Watoa Sare na Gor Mahia

May 21, 2022

Gor Mahia Kuwavaa Homeboyz Dimba la Kasarani

May 19, 2022

Kakamega Homeboyz Yaibutua KCB 2-1

May 16, 2022

Mchezo wa Gor Mahia, Talanta FC Waota Mbawa

May 14, 2022
Prev Next 1 of 32

TPL

Prisons, Geita Gold Hakuna Mbabe

May 26, 2022

Azam FC Kuikabili Coastal Union ASFC Nusu Fainali

May 26, 2022

Ambundo, Ntibanzokiza Kuikosa Simba, Utovu wa Nidhamu…

May 26, 2022

Arajiga Kuamua Mchezo wa Yanga, Simba Mwanza

May 25, 2022

Ruvu Shooting Yavuna Pointi Moja Mbele ya Azam

May 24, 2022
Prev Next 1 of 153
  • Facebook Join us on Facebook
  • Twitter Join us on Twitter
  • Youtube Join us on Youtube
  • Instagram Join us on Instagram
  • Football
  • Rugby
  • Baseball
© 2022 - Amani Sports News. All Rights Reserved.
Website Design: Peakt Solutions