Cavani atokea bechi na kuiadhibu Southampton wakati United ikishinda 3-2
Klabu ya Manchester United imeibuka kidedea dhidi ya Southampton katika mtanange wa Ligi Kuu nchini England uliopigwa dimba la St Mary's, ambapo Southampton walitangulia kujipatia bao 2-0 hadi mapumziko lakini ingizo jipya la United Edinson…