Kagera Sugar Waichapa Mbeya City

Kagera Sugar wamefanikiwa kuvuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange uliochezwa uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Kwenye mechi ambayo Kagera Sugar wamemaliza wakiwa pungufu…

Simba Waichapa 1-0 Wydad Casablanca

Klabu ya Simba imeanza vyema kampeni ya kufuzu nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi Wydad Casablanca katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali uliochezwa uwanja wa…