Tanzania, Kenya, Uganda Kuandaa Kombe la AFCON 2027
Mataifa matatu jirani yanayounda Jumuiya ya Afrika Mashariki yameanza mchakato wa kuomba kuandaa kwa pamoja mashindano ya Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2027.
Taarifa ya kuanza mchakato huo zimesemwa na Waziri wa Michezo wa Kenya…