Browsing Category
AFCON
Stars Yaadhibiwa Kwa Mkapa 2-0 na Algeria
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeangukia pua kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya taifa la Algeria katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2023 nchini Ivory Coast.…
Ghana na Tunisia zabanwa katika mechi za kufuzu AFCON
Ghana na Tunisia ambazo zitakwenda kucheza Kombe la Dunia,zimetoka sare hapo jana katika mechi za kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika. Ghana ilitoka sare ya bao moja kwa moja na Jamhuri ya Afrika ya Kati katika mechi ya Kundi E…
Samatta Atoa Matumaini kwa Watanzania Kuikabili Niger
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally Samatta amesema wamejipanga kuanza vyema kampeni ya kuwania tiketi ya kufuzu fainali za Afcon 2023 zitakazochezwa Ivory Coast.
Taifa Stars itaanza kampeni hiyo Jumamosi…
Taifa Stars Njiani Kuikabili Niger Kufuzu Afcon 2023
Kampeni ya kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2023 imeanza rasmi ambapo michezo mbalimbali itachezwa kupata mataifa ambayo yataungana na mwenyeji Ivory Coast.
Tanzania ikiwa moja ya mataifa hayo,…
Nyota Oburu Ang’aa Ligi ya Zambia
Nyota wa kimataifa wa Kenya Vincent Oburu anayekipiga kunako klabu ya Zesco United amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo wa Ligi Kuu nchini Zambia baada ya kufunga goli moja na kutoa asisti katika goli lingine kwenye mechi iliyomalizika…
Mane, Mendy, Aboubakar Wang’aa AFCON 2021
Mshambuliaji anayekipiga kunako klabu ya Liverpool ya England Sadio Mane ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 baada ya kuiongoza timu yake ya taifa ya Senegal kushinda taji hilo ikiwa ni mara…
Senegal Wabeba Ubingwa wa AFCON 2021, Waifunga Misri
Senegal baada ya kuukosa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2019 mbele ya Algeria, msimu huu wamesahihisha makosa yale na kufanikiwa kutwaa taji hilo kwa mwaka 2021 baada ya kuifunga Misri kwenye mikwaju ya penati kufuatia dakika…
Cameroon Yajifariji, Mshindi wa Tatu Afcon 2021
Cameroon imefanikiwa kujifariji kiasi baada ya kushinda mechi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Burkina Faso kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 mtanange uliopigwa dimba la Ahmadou Ahidjo Jijini Yaoundé Cameroon.
Kwenye mechi…
Wenyeji Cameroon Watupwa Nje, Misri Kuivaa Senegal Fainali Afcon 2021
Taifa la Misri ambalo ni mabingwa mara saba wa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe hilo baada ya ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya bila kufungana na wenyeji, Cameroon ndani ya dakika ya 120 usiku wa…
Senegal yatinga fainali ya Afcon baada ya kuichapa Burkina Faso 3-1
Senegal wametinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuibamiza Burkina Faso 3-1.
Wachezaji Abdou Diallo, Idrissa Gana Gueye na Sadio Mane ndio waliopachika magoli katika kipindi cha…