Browsing Category
Africa
Wydad Casablanca Watua Tanzania Kuwakabili Simba CAFCL
Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu wa 2021/22 klabu ya Wydad Casablanca wamewasili Tanzania tayari kwa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya mashindano hayo dhidi ya Simba utakaochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam…
“Wydad Tutamfanyia Balaa” – Ahmed Ally
Meneja wa Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amesema wameendelea kufanya maandalizi ambayo yanampa imani kwamba watafanya vizuri dhidi ya Wydad Casablanca katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali…
Nyota wa Kimataifa Kenya Clyde Senaji Ashinda Taji la Kwanza Malawi
Beki wa kimataifa wa Kenya Clyde Senaji ametwaa taji la kwanza akiwa nchini Malawi kufuatia klabu ya Nyasa Big Bullets kuibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Mighty Mukuru mtanange uliopigwa dimba la Kimataifa la Bingu.
Senaji ambaye…
Simba Yapangiwa na Wydad Casablanca Robo Fainali
Klabu ya Simba imeangukia kwa mabingwa watetezi, Wydad Casablanca ya Morocco katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo itaanzia dimba la taifa kabla ya kwenda kumalizia ugenini.
Robo Fainali nyingine za Ligi ya Mabingwa ni…
Yanga Yapangwa Na Rivers United
Shirikisho la Kandanda barani Afrika CAF limefanya droo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Yanga watajiuliza maswali dhidi ya Rivers United.
Yanga ambayo msimu uliopita walitolewa na Rivers…
Moja Kati ya Hizi Timu Itakutana na Yanga CAFCC
Droo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itafanyika Aprili 5 Jumatano ambapo timu nane kwenye kila mashindano zitakuwa kwenye eneo lake.
Kombe la Shirikisho Afrika kwa Tanzania itawakilishwa na Yanga ambayo imeshika nafasi ya…
Timu Moja Kati ya Hizi Zitakutana na Simba Robo Fainali
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika itafanyika Aprili 5 Jumatano ambapo timu nane kwenye kila mashindano zitakuwa kwenye eneo lake.
Ligi ya mabingwa kwa Tanzania itawakilishwa na Simba ambayo…
Yanga Yaichapa TP Mazembe Nje Ndani Shirikisho
Klabu ya Yanga imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji TP Mazembe kwenye mechi ya mwisho ya Kombe la Shirikisho Afrika mtanange uliopigwa dimba la TP Mazembe Jijini Lubumbashi.
Yanga wakiwa wameshafuzu kucheza robo fainali,…
Simba Yapoteza, Jean Baleke Aweka Rekodi Uwanja wa Mohamed V
Klabu ya Simba imehitimisha mchezo wa hatua ya makundi, Kundi C ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kupoteza bao 3-1 dhidi ya wenyeji Raja Casablanca mtanange uliopigwa dimba la Mfalme Mohamed V Jijini Casablanca, Morocco.
Kwenye mchezo ambao…
“Watu wa Malawi Hawaipendi Malawi” – Kocha wa timu ya taifa ya Malawi
Kocha wa Malawi Mario Marinica amekosoa tabia ya mashabiki wa timu ya taifa hilo kwa kuwashangilia wachezaji wa timu ya taifa ya Misri kila wanapogusa mpira akiwemo staa wa Liverpool Mohamed Salah.
Mashabiki wa Malawi walionyesha kitendo…