Browsing Category
Africa
Nigeria Yaondoshwa na Ghana Kufuzu Kombe la Dunia
Licha ya kupigiwa chapuo. Licha ya kuwa na vipaji vingi. Licha ya Ghana kutokuwa na wakati mzuri, licha ya kucheza uwanja wa nyumbani, Nigeria imekosa nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia Qatar 2022 baada ya kuondolewa kwa faida ya…
Taifa Stars Yabanwa na Sudan kwa Mkapa
Ratiba ya mechi za kirafiki za Fifa kwa taifa la Tanzania imemalizika kwa sare ya goli 1-1 na Sudan katika mchezo uliopigwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Leo Jumanne.
Sudan ilitangulia kupata bao kunako ungwe ya kwanza…
Mane Aibeba Senegal Kwenda Kombe la Dunia Qatar 2022 kwa kuifunga Misri
Mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon 2021 Senegal wamefanikiwa kukata tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia Qatar 2022 kufuatia kuifunga Misri kwenye changamoto ya mikwaju ya penati baada ya sare ya bao 1-1 kwenye mechi mbili…
Simba Kurejea Uwanjani Leo Jumapili
Baada ya mapumziko ya siku tano, Leo Jumapili wachezaji wa Simba wanarejea kambini kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho la TFF na Kombe la Shirikisho Afrika ambayo itaendelea baada ya kalenda ya Fifa…
Algeria Mguu Mmoja Kucheza Kombe la Dunia Qatar 2022, Yaichapa Cameroon
Algeria baada ya kufanya vibaya kwenye fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon 2021 licha ya kuwa mabingwa watetezi kwenye mashindano hayo, imeanza vizuri kurejesha ubabe wake Afrika baada ya kuvuna ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Cameroon…
Misri Yaichapa Senegal, Cameroon Yaadhibiwa Nyumbani na Algeria
Timu ya taifa ya Misri imefanikiwa kuanza vyema kuelekea kukata tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia Qatar 2022 baada ya kuvuna ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa wa Afcon 2021 Senegal katika mchezo wa mchujo mkondo wa kwanza…
Simba Yaweka Wazi Viingilio Kuitazama US Gendarmerie, Kombe la Shirikisho
Kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji Simba SC na US Gendarmerie ya Niger, uongozi wa klabu mwenyeji umetoa viingilio vya kuutazama mtanange huo.
Kupitia tovuti na mitandao ya kijamii ya klabu hiyo, wameweka…
Kenyatta Azindua Awamu ya Kwanza ya Ujenzi wa Kisasa wa Uwanja
Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta amezindua mpango wa awamu ya kwanza wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo mbalimbali unaoendelea katika barabara ya Ngong na kupewa jina la Jamhuri Sports Complex.
Uzinduzi huo, umefanyika Leo…
Samatta, Mpole Watupia Stars Ikiichapa Afrika ya Kati 3-1
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) katika mchezo wa kirafiki mtanange uliopigwa Leo Jumatano katika dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Taifa…
Taifa Stars Kutupa Karata kwa Afrika ya Kati
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inaingia uwanjani Leo Jumatano kumenyana na Jamhuri ya Afrika ya Kati katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Taifa Stars ambayo iliingia kambini Jumatatu…