Mshambuliaji Mohammed Salah alifunga goli katika dakika ya mwisho na kuipa ushindi nchi yake ya Misri wa mabao 3-2 dhidi ya Tunisia katika mashindano ya kufuzu AFCON ingawa nchi zote mbili zimeshapata tiketi ya kushiriki mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2019. Salah alifunga goli hilo la ushindi wakati ambao timu zote zilionekana kama zimeridhika kugawana
