Browsing Category
Africa
Yanga Yaimaliza Rhino Rangers Kombe la ASFC
Yanga SC wametinga Hatua ya 16 Bora, Kombe la Shirikisho Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa magoli 7-0 dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora Leo Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es…
Simba Watinga 16 Bora, Waifunga Coastal Union
Wekundu wa Msimbazi Simba wametinga 16 bora fainali ya Kombe la Azam Sports Federation ASFC baada ya kuifunga Coastal Union bao 1-0 mchezo uliopigwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Kwenye mchezo huo, simba walilazimika…
Dodoma Jiji Yaonjeshwa Chungu Tamu na Azam Kombe la FA
Azam FC imetinga raundi ya 16 ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama ASFC baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC mchezo uliopigwa dimba la Azam Complex Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Azam FC…
Namungo Yatoa Sare na Namungo
Namungo FC imevuna alama moja kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan, mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Namungo ilitangulia kwa bao la Shiza Ramadhani Kichuya dakika ya…
Mlandege Bingwa Kombe la Mapinduzi
Kikosi cha Mlandege kinachoshiriki Ligi Kuu Visiwani Zanzibar kimefanikiwa kutwaa taji la Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Big Stars mchezo uliopigwa dimba la Amaan Zanzibar.
Mabao ya Mlandege yamefungwa…
Singida Big Stars Hiyo Fainali, Yaichapa Azam 4-1 Kombe la Mapinduzi
Singida Big Stars imetinga fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kupata matokeo ya bao 4-1 dhidi ya Azam FC mchezo uliopigwa dimba la Amaan Visiwani Zanzibar.
Mabao yote kwa Singida Big Stars yamefungwa na mshambuliaji wa kimataifa wa…
Yanga Yaifuata Simba Kupanda Boti Kurudi DSM
Kikosi cha Yanga kimeondolewa kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi licha ya kutoa sare ya bao 1-1 na Singida Big Stars katika mchezo wa mwisho wa Kundi B.
Yanga wanaaga mashindano hayo wakiwa na alama nne sawa na Singida Big Stars…
Kabunda Aipa Ushindi Namungo
Hassan Kabunda, nyota wa zamani wa KMC ameipa ushindi Namungo FC na kuifanya timu hiyo kufuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi linaloendelea Visiwani Zanzibar baada ya kufunga bao moja dhidi ya Aigle Noir ya Burundi.
Bao hilo…
Yanga Yaichapa KMKM
Klabu ya Yanga ikiwa mchanganyiko wa damu ya wazee na vijana imepata matokeo ya bao 1-0 dhidi ya KMKM katika mchezo wa Kundi B michuano ya Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Bao pekee kwenye mchezo huo limefungwa na winga…
Simba Yaanza kwa Kichapo Kombe la Mapinduzi
Wekundu wa Msimbazi, Simba wameanza kwa kichapo kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi kufuatia timu hiyo kufungwa bao 1-0 na Mlandege FC, mchezo ukichezwa uwanja wa Amaan Zanzibar.
Wakiendelea na kocha mnene, Mbunge wa Jimbo la Songwe,…