Browsing Category

Bundesliga

Bayern Yaichapa 4-2 Dortmund

Thomas Tuchel ameanza vyema kwenye utawala wake Bayern Munich kufuatia kuiongoza timu hiyo kuinyuka Borussia Dortmund bao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga, mtanange uliopigwa dimba la Allianz Arena Jumamosi.…

Bayern Yaichapa Wolfsburg 4-2

Bayern Munich imerejea kwenye njia za ushindi kwa kuichapa bao za kutosha Wolfsburg 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga mtanange ambao umeshuhudia Bayern wakimaliza pungufu kufuatia Joshua Kimmich kuonyeshwa kadi…

Bayern yatoka sare ya tatu mfululizo

Vinara wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bayern Munich wameambulia pointi moja kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Bundesliga dhidi ya Eintracht Frankfurt kwa sare ya bao 1-1 mtanange uliopigwa dimba la Allianz Arena. Sare ya Bayern nyumbani inakuwa…