Browsing Category
Bundesliga
Bayern Yatupwa Nje Kombe la Ujerumani na Freiburg
Bayern Munich imeondolewa kwenye mashindano ya Kombe la Ujerumani katika hatua ya robo fainali kufuatia kuruhusu bao la jioni walipocheza na Freiburg mchezo uliopigwa Jumanne usiku.
Bayern walianza kufunga bao la kichwa kupitia beki…
Bayern Yaichapa 4-2 Dortmund
Thomas Tuchel ameanza vyema kwenye utawala wake Bayern Munich kufuatia kuiongoza timu hiyo kuinyuka Borussia Dortmund bao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga, mtanange uliopigwa dimba la Allianz Arena Jumamosi.…
Bado Naumia Kufukuzwa Kazi Chelsea – Kocha wa Bayern Tuchel
Kocha wa Bayern Munich Thomas Tuchel ameeleza kuwa kitendo cha kufukuzwa kazi katika kikosi cha Chelsea mwezi Septemba bado kina muumiza kichwa.
Kocha huyo raia wa Ujerumani amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuelekea…
Der Klassiker: Dortmund kuchafua karamu ya Tuchel mjini Munich?
Borussia Dortmund inaweza kuivamia na kuchafua hafla ya kumtambulisha kocha mpya wa Bayern Munich ambaye ni kocha wao wa zamani Thomas Tuchel Jumamosi na kupiga hatua nyingine kukaribia kuzuia jaribio la miamba hao kubeba taji la Bundesliga…
Bayern Yarudi Kileleni, Dortmund Yabanwa
Bayern Munich imeishindilia Augsburg na kwenda kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga wakiipiku Borussia Dortmund ambao katika mechi iliychezwa baadae walibanwa mbavu na Schalke 04 kwa kutoka sare ya 2 - 2.
Kwenye…
Bayern Yarudi Kileleni, Dortmund Nafasi ya Pili
Bayern Munich imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga baada ya kuifunga bao 2-1 Stuttgart katika mchezo wa Ligi uliochezwa dimba la Mercedes.
Mathjis de Ligt alifunga bao la kwanza dakika ya 39 kabla ya…
Bayern Yaichapa Wolfsburg 4-2
Bayern Munich imerejea kwenye njia za ushindi kwa kuichapa bao za kutosha Wolfsburg 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga mtanange ambao umeshuhudia Bayern wakimaliza pungufu kufuatia Joshua Kimmich kuonyeshwa kadi…
Dortmund Yampa Freiburg kipigo cha Bao 5-1
Borussia Dortmund ikiwa na Sebastien Haller imeichapa bao 5-1 klabu ya Freiburg katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga mchezo ambao Sébastien Haller amefunga bao la kwanza akirejea baada ya kuwa nje kwa muda sasa.…
Bayern wamnyakua Cancelo kutoka Man City
Vinara wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bayern Munich wamekamilisha usajili mlinzi wa kulia wa Manchester City Joao Cancelo kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa.
Dirisha la usajili linafungwa Jumanne ambapo timu ziko sokoni kusaka…
Bayern yatoka sare ya tatu mfululizo
Vinara wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bayern Munich wameambulia pointi moja kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Bundesliga dhidi ya Eintracht Frankfurt kwa sare ya bao 1-1 mtanange uliopigwa dimba la Allianz Arena.
Sare ya Bayern nyumbani inakuwa…