Mshambuliaji wa kimataifa wa Norwei Erling Braut Haaland amefunga goli la jioni na kuipa uhakika wa timu yake ya Borussia Dortmund kuondoka na alama moja baada ya kubanwa mbavu na Cologne katika sare ya goli 2-2 iliyopatikana leo Jumamosi. Haaland alifunga goli la kuongoza kwa Dortmund dakika tatu za awali lakini Cologne walisawazisha goli hilo
