Browsing Category
Bundesliga
Kisa Mashabiki, Mechi kati ya Bochum na Meonchengladbach, Yaota Mbawa
Mchezo wa Ligi Kuu ya nchini Ujerumani Bundesliga baina ya Bochum na Borussia Moenchengladbach umeota mbawa kufuatia mwamuzi wa pembeni (mshika kibendera) Christian Gittelmannn kupigwa na chupa iliyorushwa uwanjani kutokea kwa mashabiki…
Dortmund Yaichapa Arminia Bielefeld na kupunguza pengo na Bayern
Borussia Dortmund imeibutua Arminia Bielefeld bao 1-0 mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga uliopigwa Leo Jumapili katika dimba la Signal Iduna Park.
Bao la pekee kwenye mchezo huo limefungwa mapema kwenye ungwe ya kwanza kunako…
Bayern Munich Yakamatwa sare na Hoffenheim Bundesliga
Bayern Munich imebanwa mbavu na Hoffenheim kwa. Sare ya 1-1 mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga huku straika matata Robert Lewandowski akifunga bao la kusawazisha kwa timu yake.
Bao la Lewandowski linakuwa la 29 kwenye mechi…
Bayern Yabanwa Mbavu na Leverkusen
Bayern Munich imebanwa mbavu na Bayer Leverkusen kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1 mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga uliochezwa Leo Jumamosi.
Niklas Sule alitangulia kuifungia Bayern Munich bao la uongozi kufuatia Leverkusen…
Dortmund Yabanwa Mbavu na Augsburg Bundesliga
Borussia Dortmund wamebanwa mbavu na Augsburg na kuweka pengo la pointi ya alama nane dhidi ya kinara wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga Bayern Munich kwenye mwendelezo wa Ligi hiyo.
Dortmund katika mbungi hilo alikuwa wa kwanza…
Bayern Yaichapa 4-1 Furth, Dortmund yaibomoa Gladbach 6-0
Robert Lewandowski amefunga goli mbili kwenye ushindi wa bao 4-1 dhidi ya timu iliyo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga ya Greuther Furth mtanange uliopigwa Leo Jumapili.
Furth wakiwa kwenye msimu wa…
Bayern Munich Yatandikwa na Bochum 4-2 Bundesliga
Bochum imeiduwaza Bayern Munich kwa kuichapa bao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani. Kwenye mechi HIYO, goli zote nne zilifungwa ungwe ya kwanza kwa mara ya kwanza tangia mwaka 1975.
Bochum magoli yake yakifungwa kupitia kwa…
Bayern Yaichapa Leipzig 3-2 Bundesliga
Bayern Munich imeibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya RB Leipzig katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga mtanange uliopigwa dimba la Allianz Leo Jumamosi Februari 5, 2022 huku Lewandowski akiendeleza urafiki na nyavu.…
Mashabiki kuruhusiwa uwanjani Bayern lakini vizuizi vya corona bado vipo
Bayern Munich itacheza mechi yao ijayo ya nyumbani katika Bundesliga dhidi ya RB Leipzig Februari 5 mbele ya mashabiki 10,000 baada ya jimbo la kusini mwa Ujerumani la Bavaria kutangaza kuwa viwanja wa mpira vya eneo hilo vinaweza kuruhusu…
Bayern Yatoa Kipigo cha 4-1 kwa Hertha Berlin Bundesliga
Bayern Munich imerudisha tena tofauti ya alama sita katika kilele cha msimamo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4-1 dhidi ya Hertha Berlin mchezo uliopigwa katika dimba la Olimpiki.
Mabao ya…