Browsing Category
Bundesliga
Dortmund Yashinda 3-2 kwa Hoffenhim Bundesliga
Borussia Dortmund imeibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Hoffenhim katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga mtanange ambao ulibeba maana kubwa kwa Dortmund kwenye mbio za ubingwa.
Magoli ya Dortmund yamefungwa na Marco…
Lewandowski Aibua Utani wa Vijiweni
Robert Lewandowski amefunga goli tatu katika ushindi wa goli 4-0 dhidi ya Koln katika mtanange wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga ambapo inakuwa mara ya pili kufunga hat-trick msimu huu.
Baada ya kufunga goli tatu, Vijiweni sasa…
Dortmund yashinda 3-2 kwa Frankfurt
Borrusia Dortmund wamelazimika kutokea nyuma na kushinda bao 3-2 dhidi ya Eintracht Frankfurt katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga, ushindi ambao umepunguza utofauti wa alama na vinara Bayern Munich.
Frankfurt…
Vinara wa Bundesliga Bayern wafungwa na Mochengladbach
Vinara wa Bundesliga Bayern Munich wameduwazwa nyumbani na Borussia Monchengladbach katika mechi yao ya kwanza baada ya mapumziko ya baridi
Bayern walikitaja kikosi cha kuungaunga cha wachezaji 11 kwa sababu ilikuwa na wachezaji karibu 12…
Munich yaichakaza Wolfsburg, Lewandowski aandika historia Bundesliga
Bayern Munich imeichapa bao 4-0 Wolfsburg ambapo mshambuliaji wa kati wa timu hiyo Robert Lewandowski ametupia bao moja na kuipa uhakika wa ushindi Munich ambao wanalichuchumilia taji la Bundesliga.
Mabao ya Munich yamefungwa na Thomas…
Lewandowski afikia rekodi ya miaka 42
Mshambuliaji wa kimataifa wa Poland Robert Lewandowski ameifikia rekodi ya mshambuliaji wa zamani wa Bayern Munich Gerd Muller kwa kufunga goli katika kipindi kimoja cha msimu wa Kandanda.
Lewandowski ameifikia rekodi hiyo wakati Bayern…
Covid-19 Yamtesa Kimmich wa Bayern
Kiraka wa Bayern Munich Joshua Kimmich atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki tatu kutokana na kupata shida ya mapafu inayochagizwa na matokeo ya virusi vya Covid-19.
Kimmich, 26, ambaye aliweka wazi kuwa hakupata chanjo ya Corona…
Haaland arejea Dortmund wakiibuka kidedea kwa Wolfsburg Bundesliga
Erling Braut Haaland ameandikisha rekodi ya kuwa mchezaji kinda kufikisha goli 50 katika ushindi wa goli 3-1 walioupata Borrusia Dortmund mbele ya Wolfsburg mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga.
Mchezaji huyo raia wa Norwei…
Bayern yatandikwa na Augsburg Bundesliga
Vinara wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bayern Munich wametandikwa goli 2-1 dhidi ya Augsburg mtanange uliopigwa Ijumaa Novemba 19.
Ushindi wa Augsburg unaifanya kukwea mpaka kuondoka kwenye mstari wa kushuka daraja licha ya Bayern kutawala…
Bayern Munich yaitandika Union Berlin Bundesliga
Bayern Munich imeibuka na ushindi wa goli 5-2 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga dhidi ya Union Berlin, ushindi ambao unaondoa machungu ya kufungwa goli 5-0 na Borussia Monchengladbach mtanange wa Kombe la Ujerumani.…