Licha ya kupoteza mechi ya raundi ya pili, klabu ya Chelsea imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya mchezo wa raundi ya kwanza kushinda 2-0 na leo kupoteza kwa bao moja maridadi ambalo limefungwa jioni kabisa mwa mtanange huo. Huku Michezo yote ikipigwa dimba la Seville Hispania, kocha wa
