Barcelona watakutana na Paris St Germain na mshambuliaji wao wa zamani Neymar wakati mabingwa watetezi Bayern Munich wakikabana koo na Lazio katika hatua ya 16 ya Chanpions League Mtanange kati ya Lionel Messi na Barca na makamu bingwa wa mwaka jana PSG ni marudio ya mechi yao ya mchujo mwaka wa 2017 ambayo Barca walipindua
