Browsing Category
Champions League
Milan Yafuzu Nusu Fainali Mbele ya Napoli
AC Milan imetinga kibabe nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia kuibuka na ushindi wa jumla ya bao 2-1 katika michuano ya robo fainali mkondo wa kwanza na ugenini baada ya leo kutoa sare ya bao 1-1 na Napoli.
Milan walianza San…
Man City Yaanza Kwa Ushindi Mbele ya Bayern Munich
Manchester City wameanza vyema katika kuwania nafasi ya kufuzu nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia kuibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Bayern Munich mchezo wa robo fainali uliochezwa uwanja wa Etihad Jijini Manchester.…
Inter Yaitandika Benfica
Romelu Lukaku amefunga goli moja kwenye ushindi wa 2 - 0 ambao wameupata Inter Milan dhidi ya Benfica katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya robo fainali uliochezwa Lisbon.
Nicolo Barella alianza kuipa uongozi Inter akifunga…
Bayern Munich Kupepetana na Man City, Madrid Kwa Chelsea
Wababe wa soka la Ulaya Real Madrid wamepangwa kukutana na Chelsea katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya robo fainali kufuatia kufuzu kucheza hatua hiyo kwa kuitoa Liverpool hatua iliyopita.
Wakati huo huo, Shirikisho la…
Madrid Yaichapa Liverpool 1-0
Real Madrid imefuzu kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuicharaza Liverpool bao 1-0 katika mkondo wa pili ikipelekea jumla ya bao 6-2 kwa mikondo yote miwili nyumbani na ugenini.
Hii inakuwa mara ya tatu mfululizo…
Osimhen Aipeleka Napoli Robo Fainali
Victor Osimhen amefunga magoli 24 katika mechi 28 za mashindano yote ya Napoli msimu huu ukiwa ni msimu bora kabisa kwa mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Nigeria.
Ametimiza mabao hayo kwa kuifungia Napoli bao mbili kwenye ushindi wa bao…
RB Leipzig Ameoga Magoli 7-0 Kwa Manchester City
Manchester City imefuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kishindo baada ya kuicharaza vilivyo RB Leipzig bao 7-0 mtanange uliopigwa kwenye uwanja wa Etihad, Jumanne.
Kwenye mchezo huo, mshambuliaji wa kati ya Norwei Erling…
Inter Milan Yatinga Nane Bora, FC Porto yatolewa
Licha ya kupata ushindi mwembamba kwenye mechi ya raundi ya kwanza, Inter Milan imefanikiwa kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kulazimisha sare tasa na FC Porto kwenye mechi ya raundi ya pili iliyochezwa Jumanne.…
Nitapimwa kwa Kubeba Ligi ya Mabingwa – Guardiola
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema tafsiri ya mafanikio katika klabu hiyo itapimwa na kile atakachokivuna kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Pamoja na kuwa Guardiola kocha wa zamani wa Bayern Munich na Barcelona…
Spurs Yaondolewa Ligi ya Mabingwa na AC Milan
Tottenham Hotspur imeshindwa kutetea nafasi ya kuendelea kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu kwa kuishia hatua ya 16 bora baada ya kupoteza bao 1-0 dhidi ya AC Milan katika mechi ya mikondo miwili.
Mkondo wa kwanza…