Browsing Category
Europa League
Arsenal Yabanwa Ugenini kwa Sporting Lisbon
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amesema ili timu yake iendelee kushinda ni lazima iimarike tofauti na walivyocheza kwenye mechi ya 16 bora hatua ya kwanza dhidi ya Sporting Lisbon ambapo mchezo ulimalizika kwa sare ya bao 2-2.
Magoli ya…
Fernandes Atabakia Kuwa Nahodha wa Man United
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag amesema Bruno Fernandes kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno ataendelea kuwa nahodha wa United kipindi chote ambacho Harry Maguire atakuwa nje ya uwanja.
Katika mechi ambayo United ilifungwa…
Man United Yapangiwa Real Betis, Arsenal Kukutana na Sporting Lisbon
Klabu ya Manchester United itacheza na timu nyingine ya Hispania ya Real Betis katika mchezo wa Ligi ya Europa hatua ya 16 bora ya mashindano hayo.
Man United imepata nafasi hiyo baada ya kuifunga jumla ya bao 4-3 FC Barcelona…
Barcelona Yafungwa Bao 2-1 na Man United
Manchester United imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora baada ya kuifunga Barcelona bao 2-1 kwenye mechi ya mkondo wa pili wa mashindano hayo mchezo uliopigwa dimba la Old Trafford Alhamis.
United imetinga hatua hiyo kufuatia sare ya bao…
Di Maria Atupia Tatu, Juve Ikishinda Kwa Nantes
Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina Angel di Maria amefunga magoli matatu na kuisaidia klabu yake ya Juventus kuibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Nantes mchezo wa Ligi ya Europa hatua ya 16 bora.
Nantes baada ya kuonyesha ukomavu…
Barcelona, Man United Watoa Sare ya 2-2
FC Barcelona imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani baada ya kubanwa mbavu na Manchester United kwa sare ya bao 2-2 mchezo wa kwanza wa Ligi ya Europa ukichezwa uwanja wa Nou Camp.
Zikiwa ni miongoni mwa timu kubwa barani…
“Tuliendelea Kuamini Tutafunga” Mctominay
Kiungo mkabaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England Scott Mctominay amesema kuwa waliendelea kuamini kuwa watafunga bao licha ya kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Omonia Nicosia ambapo United waliibuka na ushindi wa bao 1-0…
Arsenal Mwendo Mdundo Ligi ya Europa
Arsenal wameibutua Bodo/Glimt bao 3-0 katika mchezo wa Ligi ya Europa ukiwa ni mchezo wa kundi C, matokeo ambayo ni mwendelezo wa ubora kwa kocha Mikel Arteta na wachezaji klabuni hapo.
Mabao ya Arsenal yamefungwa na Eddie Nketiah…
Manchester United Yarudi Njia za Ushindi
Manchester United imelazimika kutokea nyuma kwa bao 1-0 na kuibuka na ushindi wa goli 3-2 katika mchezo wa Ligi ya Europa dhidi ya Omonia Nicosia mchezo wa Alhamis.
Mshambuliaji wa kimataifa wa England Marcus Rashford akiingia kambani…
Maguire, Varane Waikosa Omonia Nicosia Europa League
Beki wa kati wa England Harry Maguire na beki wa kati wa Ufaransa Raphael Varane watakosa mchezo wa pili wa Ligi ya Europa baina ya Manchester United na Omonia Nicosia utakaochezwa Alhamis.
Maguire majeruhi yake aliyapata kwenye mechi…