Browsing Category
Football
Tetesi za Mastaa Ulaya: Mane Awindwa na PSG, Ten Hag Amtaka de Jong wa Barcelona
Manchester City wanavutiwa kumsajili kiungo mkabaji wa kimataifa wa England na Leeds United Kalvin Phillips, 26, wakijaribu kumtafuta mbadala ya kiungo wa Kibrazil Fernandinho, 37, ambaye anaachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu baada…
Mchezaji wa Soka England Asema Yeye ni Shoga, Apongezwa
Nyota wa kimataifa wa England na kikosi cha Blackpool FC inayoshiriki Ligi ya Championship Jack Daniels ameweka wazi kuwa yeye ni shoga, akisema ni ukweli ambao ameuficha kwa muda mrefu.
Daniel mwenye umri wa miaka 17, amesema baada ya…
Ten Hag Asitisha Safari ya Ajax Kisa Man United
Kocha mpya wa Manchester United Erik ten Hag anatarajiwa kuwasili katika taifa la Malkia Uingereza siku ya Jumatatu tayari kwa kuanza majukumu mapya ya kukinoa kikosi cha mashetani wekundu kwa msimu ujao.
Bado msimu huu haujamalizika,…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Mbappe Abakia Midomoni mwa Real Madrid
Real Madrid bado wanaamini wanaweza kumsajili winga hatari wa kimataifa wa Ufaransa na Paris St-Germain Kylian Mbappe, 23, hata hivyo bado mchezaji huyo hajafanya maamuzi ya hatima yake.
Barcelona hawavutiwi tena kumrudisha mshambuliaji…
Kocha Mpya Man United Ashinda Ubingwa
Erik ten Hag amemaliza vyema msimu wa 2021/22 kwa kubeba taji la Ligi Kuu nchini Uholanzi licha ya kupoteza mchezo wa fainali ya Kombe la Uholanzi kwa PSV Eindhoven.
Ten Hag ambaye ameshamalizana na Manchester United taji hilo linakuja…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Juve Yaiwinda Saini ya Pogba, Jesus Atakiwa na Arsenal
Juventus wako tayari kutuma ofa kwa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa na Manchester United Paul Pogba 29, ambapo inatajwa kuwa anaweza kupewa pauni laki moja na elfu sitini kwa wiki pamoja na bonasi nyingi.
Chelsea wanavutiwa…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Bayern Munich Wamtaka Mane wa Liverpool, Pogba Aikana Man City
Bayern Munich wanakusudia kuanzisha mpango wa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal na Liverpool Sadio Mane kufuatia mchezaji huyo mkataba wake kuelekea mwishoni.
Hata hivyo, Liverpool haijafanya mazungumzo yoyote na Bayern kwa…
Haaland Akaribia Kujiunga na Man City
Manchester City iko mbioni kukamilisha uhamisho wa nyota wa kimataifa wa Norwei na Borussia Dortmund Erling Braut Haaland ambapo usajili wake unaweza ukatangazwa wiki ijayo.
Haaland wakati anajiunga na Dortmund aliwekewa kipengele cha…
Nyota wa kimataifa wa Congo Lukoki Afariki Dunia
Nyota wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jody Lukoki, amefariki dunia katika umri wa miaka 29 akiwa katika klabu ya FC Twente.
Lukoki kabla ya umauti wake amevitumikia vilabu mbalimbali kama PEC Zwolle, Ludogorets, Yeni…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Mbappe Akubali Kubakia PSG
Winga hatari wa Ufaransa Kylian Mbappe, 23, amekubali kumwaga wino wenye thamani ya pauni milioni 42.5 wa kuendelea kukitumikia kikosi cha Paris St-Germain mkataba wa miaka miwili. Hayo ni kwa kujibu wa gazeti la Le Parisien. Hata hivyo…