Browsing Category
Football
Tetesi za Mastaa Ulaya: Kane Ashindaniwa Bayern, Man United
Bayern Munich wanavutiwa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England na Tottenham Hotspur Harry Kane, 29, inaelezwa kuwa United wameonyesha nia ya kumsajili pia.
Liverpool, Chelsea na Manchester United wanakusudia kumshawishi kiungo…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Chelsea Imefanya Mawasiliano na Mourinho
Chelsea imefanya mawasiliano ya kocha wa zamani wa timu hiyo Jose Mourinho ambaye kwa sasa anakinoa kikosi cha AS Roma ya Italia kwa ajili ya kuona uwezekano wa kumpata kurithi mikoba ya Graham Potter darajani.
Mourinho mkononi mwake pia…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Conte Awindwa Chelsea
Chelsea wanafikiria kufanya maamuzi ya kumchukua Antonio Conte kama tiba ya kudumu ya kikosi hicho licha ya kumchukua Frank Lampard kama kocha wa muda mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Liverpool Xavi Alonso…
Kocha Herve Renard Ateuliwa Kuwa Kocha Ufaransa
Kocha aliyeipa ubingwa Zambia na Ivory Coast wa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON Herve Renard, 54, amechaguliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa upande wa wanawake.
Kocha huyo aliyekuwa anaitumikia timu ya taifa ya Saudi…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Messi Kutimkia Ligi ya Marekani, Chelsea Kuvurugwa
Manchester City hawana mpango wa kumuuza kiungo mkabaji wa kimataifa wa England Kalvin Phillips, 27, licha ya mchezaji huyo kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara tangia atoke Leeds United.
Hata hivyo, inaelezwa kuwa Phillips anafikiria…
Tetesi za Mastaa: Nagelsmann Awindwa na Tottenham
Kocha wa Kijerumani Julian Nagelsmann, 35, baada ya kufutwa kazi Bayern Munich ameingia kwenye rada ya Tottenham Hotspur ambao wako mbioni kupeana mkono wa kwa kheri na Antonio Conte, 53.
Spurs wanatamani kuona dili hilo linakamilika…
Kane Aisaidia England Kushinda Mbele ya Italia
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspur Harry Kane ameandika rekodi ya kuwa mpachikaji bora wa muda wote katika timu ya taifa ya England.
Kane amefikia rekodi hiyo baada ya kufunga bao moja kwenye mechi dhidi ya Italia ambapo…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Spurs Yamtaka Kipa Henderson wa Man United
Klabu ya Tottenham Hotspur imeonyesha nia ya kumhitaji mlinda mlango wa Manchester United ambaye anakipiga kunako Nottingham Forest kwa mkopo Dean Henderson, 26.
United wanategemea kutumia mahitaji ya Spurs kwa Henderson kama chambo cha…
Rashford, Mount Waondoshwa England
Mshambuliaji wa Manchester United Marcus Rashford na kiungo mshambuliaji wa Chelsea Mason Mount wamejitoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England kufuatia changamoto za kimwili.
England inategemea kucheza michezo ya kufuzu Euro 2024…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Real Wamtaka Kane wa Tottenham
Real Madrid wanaendelea kuhitaji huduma ya mshambuliaji wa kimataifa wa England na Tottenham Hotspur Harry Kane, 29, ingawa watakumbana na ushindani kutoka kwa Bayern Munich na Manchester United.
Dau la Euro milioni 200 ambazo ziliwekwa…