Majogoo wa Jiji la Merseyside Liverpoolol wanakutana na wakati mgumu wa kumbakisha nyota wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah, 28, hasa baada ya mchezaji huyo kuonyesha matamanio ya kuondoka klabuni hapo. Manchester United na Chelsea zote zimejiegesha kufanikisha usajili wa winga wa Hispania na klabu ya Real Madrid Lucas Vazquez, 29. Chelsea wanamuangalia mshambuliaji wa
