Browsing Category
Football
Tetesi za Mastaa Ulaya: Varane kufanyiwa vipimo Man United, Lukaku agoma kurudi Stamford Bridge…
Manchester United imekusudia kumsajili beki wa kati wa Real Madrid na Ufaransa Raphael Varane, 28, kwa kandarasi ya miaka minne kukiwa na kipengele cha mwaka mmoja mbele, taarifa ya lini atafanyiwa vipimo bado haijathibitishwa.
Newcastle…
Man United na Varane wafanya mazungumzo ya uhamisho
Manchester United wamefika hatua nzuri ya mazungumzo baina ya klabu ya Real Madrid na wawakilishi wa mlinzi wa kati Raphael Varane kuhusu uhamisho wake kwenda Old Trafford.
Mazungumzo baina ya pande hizo tatu yamefanyika kwa…
Real Madrid yapoteza mechi ya kirafiki 2-1 dhidi ya Rangers
Real Madrid imepoteza mechi yake ya kirafiki ikiwa ni maandalizi ya msimu ujao kwa kufungwa bao 2-1 na mabingwa wa Ligi Kuu ya Scotland, Rangers mtanange uliopigwa dimba la Ibrox Julai 25.
Licha ya kuongoza mapema kabisa…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Man United yafikia pazuri dili la Raphael Varane, Lamela awekwa kando Spurs
Manchester United wamefikia hatua nzuri kuelekea kukamilisha mazungumzo na klabu ya Real Madrid kwa ajili ya kumsajili beki Raphael Varane, 28, kwa pauni milioni 50.
United wanaamini pia wanaweza kumsajili kiungo mkabaji wa…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Juventus yaikomalia Liverpool kwa Federico Chiesa, Martial kuwekwa sokoni…
Juventus imekataa ofa ya pauni milioni 86 kutoka kwa Liverpool yakuhitaji saini ya kiungo mshambuliaji wa Italia Federico Chiesa, 23, mchezaji huyo yuko Juventus kwa mkopo wa miaka miwili akitokea Fiorentina kabla ya kukamilisha uhamisho…
Giggs atuhumiwa kumfanyia ukatili Mpenzi Wake wa zamani
Kocha wa Wales na mchezaji wa zamani wa Manchester United Ryan Giggs amepelekwa Mahakamani kwa tuhuma za kutumia mabavu na kumtusi aliyekuwa mpenzi wake Kate Greville.
Katika tuhuma hizo ambazo mara ya kwanza kusomwa ilikuwa…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Chelsea wakomaa na Haaland, Man City kimya kimya kwa Grealish
Chelsea inajiandaa kutuma ofa nzito kwenda ya pauni milioni 130 kwa Borussia Dortmund kwa ajili ya kupata huduma ya mshambuliaji wa kati wa kimataifa wa Norwei Erling Braut Haaland 22, hii inakuja kufuatia Bosi Roman Abramovich kubariki…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Gabriel Jesus, Mahrez, Silva wawekwa chambo Man City, Mbappe aendelea…
Manchester City wanajiandaa kuwatoa wachezaji watatu ambao ni mshambuliaji wa Brazil Gabriel Jesus, 24, nahodha wa Algeria Riyad Mahrez, 30, kiungo wa Ureno Bernardo Silva, 26, kwa ajili ya kumsajili strika matata wa Tottenham Hotspur…
Tanzania U-23 yaichapa Congo Cecafa
Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 23 imeanza vyema michuano ya Cecafa baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika mchezo wa Kundi A uliopigwa Jumanne Julai 21 dimba la…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Chelsea yamvutia kasi Lewandowski, Liverpool kupitisha panga kwa wachezaji
Chelsea imefanya mazungumzo na Wakala wa mshambuliaji wa kimataifa wa Poland na Bayern Munich Robert Lewandowski, 32, kuhusu kuangalia uwezekano wa kumsajili baada ya dili la Haaland kushindikana.
Arsenal wanaandaa pauni milioni 30 kwa…