Browsing Category
KPL
‘Hatufikirii Ubingwa, Tunataka Kushinda Mechi Zetu” – Robert Matano
Tusker imeendelea kuvuna alama tatu kwenye mechi zake ambazo zimepelekea kuikaba koo Gor Mahia vinara wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL ambayo imekuwa na mtihani katika kupata alama tatu kwenye mitanange inayoshiriki.
Ushindi mwembamba wa…
Omala Amuibua Kocha McKinstry wa Gor Mahia
Kocha Mkuu wa Gor Mahia Johnathan McKinstry amemtia moyo mshambuliaji wake Benson Omala kuwa atakuwa na kesho nzuri ngazi klabu na timu ya taifa licha ya mchezaji huyo kinara wa kupachika mabao KPL kutojumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji…
FC Talanta Yamsajili Kuta, Dola Kutoka Mathare United
Siku moja baada ya kutangazwa kuwa mchezaji huru na Mathare United kiungo Augustine Kuta amepata makaazi mapya ambayo ni FC Talanta na atakuwepo hapo katika kipindi ambacho hakijawekwa wazi.
Kuta ni mmoja tu ya wachezaji ambao wametua FC…
Nairobi City Stars Yatoshana Nguvu na Sofapaka
Licha ya kutawala mchezo kwa muda mwingi, Nairobi City Stars wamelazimishwa sare ya bao 1-1 na Sofapaka katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL mtanange uliopigwa dimba la Ruaraka Jumamosi ya Leo.
Walianza Simba wa Nairobi kufunga…
Gor Mahia Yatinga 16 Bora Mozzart Bet Kucheza na Homeboyz
Gor Mahia imetinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Mozzart Bet baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya timu ya daraja la pili ya Kibera Soccer mchezo uliochezwa uwanja wa Kimataifa wa Moi Leo Jumapili.
Ukiwa ni mchezo wa hatua ya 32 wa…
Homeboyz Wasajili Wachezaji Watano
Mlinda mlango wa kimataifa wa Uganda James Ssetuba Cleo ni sehemu ya wachezaji watano ambao wamesajiliwa na Kakamega Homeboyz inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL.
Kipa huyo anarejea nchini Kenya baada ya kipindi cha nyuma kucheza…
Cheche Ajiunga na Mathare United
Beki mkongwe wa kimataifa wa Kenya David Ochieng "Cheche" amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Mathare United dili litakalomfanya mchezaji huyo kubakia klabuni hapo mpaka mwisho wa msimu huu.
Mathare United ambayo inashiriki Ligi Kuu…
Babu Ataka Wachezaji Bora Wabakie Nzoia Sugar
Kocha wa klabu ya Nzoia Sugar FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL Salim Babu amesema anatamani wachezaji wa kikosi hicho wabakie klabuni hapo ili aendelee kufanya vizuri kunako KPL.
Matamanio ya kocha Babu ambaye amewai kuinoa…
Gor Mahia Yaichapa Wazito 4-0
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu nchini Kenya Gor Mahia wameshika usukani wa Ligi ya FKFPL kufuatia kutoa kichapo kizito kwa Wazito FC cha bao 4-0 mchezo wa Ligi uliochezwa uwanja wa Kasarani.
Katika mchezo huo Benson Omala aliingia…
Ulinzi Yajipanga Kukabiliana na K’Ogalo
Kikosi cha kocha Benard Mwalala kimesema kinaendelea na maandalizi ya kuivaa Gor Mahia vinara wa Ligi Kuu nchini Kenya KPL siku ya Jumamosi mtanange utakaopigwa saa tisa alasiri.
Kocha Mwalala amesema licha ya timu yake kutokuwa na…