Browsing Category

KPL

Homeboyz Wasajili Wachezaji Watano

Mlinda mlango wa kimataifa wa Uganda James Ssetuba Cleo ni sehemu ya wachezaji watano ambao wamesajiliwa na Kakamega Homeboyz inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL. Kipa huyo anarejea nchini Kenya baada ya kipindi cha nyuma kucheza…

Cheche Ajiunga na Mathare United

Beki mkongwe wa kimataifa wa Kenya David Ochieng "Cheche" amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Mathare United dili litakalomfanya mchezaji huyo kubakia klabuni hapo mpaka mwisho wa msimu huu. Mathare United ambayo inashiriki Ligi Kuu…

Gor Mahia Yaichapa Wazito 4-0

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu nchini Kenya Gor Mahia wameshika usukani wa Ligi ya FKFPL kufuatia kutoa kichapo kizito kwa Wazito FC cha bao 4-0 mchezo wa Ligi uliochezwa uwanja wa Kasarani. Katika mchezo huo Benson Omala aliingia…