Mkurugenzi wa Michezo katika klabu ya Gwambina FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Tanzania Mwinyi Zahera anatajwa kuwa miongoni mwa makocha waliotuma maombi ya kazi ya ukocha kunako klabu ya AFC Leopards ya Kenya. AFC Leopards imekuwa bila kocha tangia Thomas Trucha kuachana na klabu hiyo wiki sita zilizopita ambapo nahodha wa zamani wa Ingwe Anthony
