Browsing Category
KPL
Mechi ya Police FC, Gor Mahia Yaota Mbawa
Mchezo wa kirafiki baina ya Police FC na Gor Mahia ambao ulipangwa kuchezwa wikiendi hii umeota mbawa kutokana na waliokuwa wageni wa mchezo huo kuomba kuahirishwa kwa mtanange husika.
Gor Mahia mabingwa mara 19 waliomba mchezo…
Ukata wa Fedha Waitikisa Gor Mahia, Wachezaji Tisa Wafanya Mazoezi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wachezaji tisa pekee wamekuwa wakijitokeza kwenye mazoezi ya kujiandaa na msimu ujao wa mashindano ya kikosi cha Gor Mahia.
Sababu inayoelezwa ya wachezaji kutojitokeza kwenye mazoezi ni mgomo baridi wa…
Ouma Atua Simba wa Nairobi
Wakati Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL ikiwa mbioni kuanza kwa maana ya mwezi ujao, klabu zimeendelea kuandaa majeshi ambapo Nairobi City Stars wamekamilisha uhamisho wa kiungo mkabaji wa zamani wa Migori Youth, anayefahamika kama Clifford…
Mwendwa Azua Taharuki Kenya, Asema Anarudi Madarakani
Rais wa zamani wa Shirikisho la Kandanda nchini Kenya Nick Mwendwa amezua taharuki kwenye uga wa michezo kufuatia kuweka wazi kuwa zimebaki siku chache kabla ya yeye mwenyewe kurejea katika uongozi.
Mwendwa aliondolewa madarakani na…
Aussems Kurejea Kenya, AFC Leopards
Kocha wa zamani wa Simba SC Patrick Aussems amethibitisha kuwa anategemea kurejea kwenye kikosi cha AFC Leopards licha ya kuwa kulikuwa na taarifa kuwa kocha huyo raia wa Ubelgiji angejiunga na timu nyingine.
Aussems aliondoka nchini…
Kocha Bandari FC Apongeza Usajili Ulivyofanyika
Kocha mkuu wa Bandari FC Anthony Kimani amesema kwa sasa hawasajili mchezaji mwingine na sasa akili yao wanaielekeza kwenye maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL.
Bandari FC ambao walimaliza msimu uliopita wakiwa nafasi…
Posta Rangers Yatikisa Usajili, Yanasa Kipa wa Kariobangi Sharks
Kikosi cha Posta Rangers kinachojiandaa kushiriki mbilinge mbilinge za Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL kimekamilisha mpango wa kuinasa saini ya mmoja ya makipa bora kabisa kwa sasa Brandon Obiero.
Obiero, mlinda mlango wa zamani wa…
Wazito Yajitoa Kushiriki Ligi Kuu Kenya
Klabu ya Wazito FC ambayo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL imeamua kujitoa kushiriki Ligi hiyo pamoja na mashindano mengine ya michezo ambayo yanaandaliwa na kamati maalumu ya michezo kutokana na kasoro nyingi ambazo zimeendelea…
Gor Mahia Yavuna 500, 000 Kwa Kuifunga Timu ya Muungano
Kocha mpya Jonathan Mckinstry ameanza vyema katika kazi yake mpya kufuatia kukiongoza kikosi cha Gor Mahia kushinda bao 1-0 dhidi ya timu ya muungano ya Coast (Coast Combined) mchezo uliopigwa dimba la RG Ngala.
Mchezo huo maalum…
Mwalala Asema Hajapokea Taarifa ya Kufukuzwa Kwake Homeboyz
Licha ya kuwepo kwa taarifa za Kakamega Homeboyz kumfuta kazi ya kocha Bernard Mwalala kocha huyo ameibuka na kudai kuwa hana taarifa rasmi za kuwa amefutwa kwenye nafasi hiyo pamoja na kwamba zimekuwepo tetesi za kufutwa kazi.…