Browsing Category
KPL
Tottenham Kumsajili Bissouma wa Brighton
Tottenham Hotspur imekubaliana na Brighton kitita cha pauni milioni 30 kwa ajili ya mauzo ya kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Mali Yves Bissouma.
Kocha wa Tottenham Antonio Conte anahitaji huduma ya mchezaji huyo kwa ajili ya…
AFC Leopards Yachapwa 3-1 na Nzoia Sugar
Nzoia Sugar imeitandika bao 3-1 AFC Leopards katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL mtanange uliopigwa Leo Jumapili katika uwanja wa Bungoma County.
Wakiendelea kuwa na timu ya vijana, AFC Leopards wamejikuta tena Leo…
Matano Atangaza Kuachana na Tusker FC Baada ya Kuipa Ubingwa wa FKFPL 2022/23
Heshima. Kocha wa Tusker FC Robert Matano amesema ataondoka klabuni hapo kutokana na kutopewa heshima na mmoja wa viongozi katika klabu hiyo licha ya kuipa mafanikio makubwa timu hiyo ukiwemo ubingwa wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL…
Tusker Watetea Ubingwa FKFPL 2022/23
Tusker FC wamefanikiwa kutetea taji lake la Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL 2022/2023 kwa kuifunga bao 2-0 Posta Rangers katika mchezo wa mwisho wa Ligi hiyo, mtanange uliopigwa dimba la Ruaraka Leo Jumapili.
Kufuatia ushindi huo, Tusker FC…
Ambani Aipa Ubingwa Tusker Mbele ya Homeboyz KPL
Mchezaji wa zamani wa Tusker FC na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars' Boniface Ambani amesema kuna uwezekano mkubwa wa Tusker FC kushinda ubingwa wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL tofauti na nafasi iliyopo kwa Kakamega Homeboyz.
Timu…
Gor Mahia Yatakiwa Kuiomba Serikali Msamaha
Waziri wa Michezo wa nchini Kenya kwa kupitia kwa katibu wa Wizara hiyo Mike Kimoko ameitaka klabu ya Gor Mahia kuandika barua ya kuomba radhi kutokana na matumizi mabaya ya lugha katika kuituhumu serikali kushindwa kuwalipa hela ya ubingwa…
Tusker FC Mbioni Kutwaa Ubingwa wa FKFPL, Yaichapa Bidco United 2-0
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL Tusker FC wamebakiza mechi moja kutwaa ubingwa wa Ligi hiyo baada ya Leo Jumapili kuibutua goli 2-0 Bidco United mchezo uliochezwa dimba la Ruraka.
Tusker ambao walikuwa kwenye kiwango…
Leopards Yafungiwa Kusajili Kutokana na Kutomlipa Mchezaji
Washiriki wa Ligi Kuu nchini Kenya AFC Leopards wameangukiwa na kitu kizito kwani wamefungiwa kutosajili kwa misimu miwili mfululizo kutokana na kushindwa kumlipa fedha zake aliyekuwa nahodha wa timu hiyo Soter Kayumba.
Hii si mara ya…
Gor Mahia Walalamikia Kutopewa Fedha Ya Ubingwa wa Kombe la Madaraka
Baada ya klabu ya Gor Mahia kuibuka na ushindi dhidi ya AFC Leopards katika mchezo maalum wa Kombe la Madaraka kwa mikwaju ya penati 6-5 baada ya sare ya bao 1-1 kwenye kandanda iliyopigwa dimba la kitaifa la Nyayo, uongozi wa klabu hiyo…
Kampuni ya Ubashiri Yajiondoa Kuidhamini Gor Mahia, AFC Leopards
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, klabu mbili nchini Kenya ambazo zinashiriki kandanda ya Ligi Kuu nchini humo, zenye mashabiki wengi pia zimepoteza mdhamini wao kutoka kwa kampuni ya kubashiri matokeo ya mechi.
Klabu hizo ni mabingwa…