Klabu ya Shabana imerejea katika Ligi Pana ya Kitaifa nchini Kenya kwa maana ya National Super League, NSL. Shabana ambayo inajivunia halaiki ya mashabiki baada ya timu za AFC leopards na Gor Mahia, imerejea katika ligi hiyo ya NSL baada ya kuifunga Mwatate magoli 7-6 kupitia kwa matuta ya penaliti. Mechi hiyo iliamuliwa kwa njia
