Browsing Category
KPL
Kamati ya mpito ya FKF Yamaliza Muda Wake
Miezi sita ya Kamati ya mpito ya Shirikisho la Kandanda Kenya imefikia tamati ya muhula wake Leo Jumanne. Katika kukamilisha majukumu yake, imetoa mapendekezo mbalimbali kwa ajili ya kufanyiwa kazi ili makosa mengine yasijirudie kama…
Mashemeji Derby Hakuna Mbabe FKFPL, Rais Kenyatta Atimba Uwanjani
Mchezo wa watani wa jadi, Mashemeji Derby umemalizika kwa sare ya bao 1-1. Mchezo wa kibabe haswa wenye picha ya utani na ushindani wa kweli. Ni mbungi lililopigwa Leo Jumapili dimba la Kasarani na kushuhudiwa na viongozi wakubwa wa…
Kakamega Homeboyz Wauweka Ubingwa KPL Rehani, Wachapwa 2-0 na Tusker
Vinara wa Ligi Kuu nchini Kenya Kakamega Homeboyz wameuweka ubingwa wa Ligi hiyo KPL kwenye rehani kufuatia kukubali kufungwa bao 2-0 na Mabingwa watetezi wa taji hilo Tusker FC katika mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa dimba la Ruaraka Leo…
Homa ya Pambano la Mashemeji Kenya Yaiva
Homa ya pambano la jadi baina ya Gor Mahia na AFC Leopards imeendelea kupanda ambapo kuelekea mchezo huo, Leo Jumatano wenyeji wa mchezo Gor Mahia wamethibitisha dimba litakalotumika kuchezea mchezo huo, utakaochezwa Mei 8, 2022.
Kabla…
Ni Kakamega Homeboyz au Tusker FC Ubingwa KPL
Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu nchini Kenya usipime. Ni vita baina ya mabingwa watetezi Tusker FC dhidi ya kinara wa muda mrefu wa msimu huu Kakamega Homeboyz ambapo mechi zimepigwa 28 na kuna tofauti ya pointi nne pekee.
Tusker inashika…
Kenya Kuchangisha Fedha Kuisaidia Harambee Stars Kufuzu Afcon
Mwenyekiti wa Kamati ya muda ya Shirikisho la Kandanda nchini Kenya (FKFPL) Aaron Ringera amesema wanakusudia kuanzisha uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kuisaidia timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars kufuzu kucheza fainali za Kombe la…
Sofapaka yaibana Kakamega Homeboyz kwa sare ya 1-1
Mabingwa wa Ligi Kuu nchini Kenya mwaka 2009 Sofapaka sasa wamefikisha mechi saba bila kushinda katika mwendelezo wa kandanda nchini humo baada ya Leo Jumapili kuambulia sare ya bao 1-1 na vinara wa ligi Kakamega Homeboyz mchezo uliopigwa…
AFC Leopards Yaichapa Wazito FC 2-1
AFC Leopards wamelazimika kutokea nyuma kwa bao moja na kushinda goli 2-1 dhidi ya Wazito FC katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya mtanange uliopigwa Leo Jumapili dimba la Thika.
AFC Leopards wanaofundishwa na kocha wa zamani wa Simba…
Vihiga Bullets Yaichapa 1-0 Mathare United KPL
Bao pekee la Jessy Kajuba la dakika ya 70 limetosha kuipa ushindi Vihiga Bullets dhidi ya Mathare United katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya mtanange uliopigwa Leo Jumamosi dimba la Ruaraka.
Ushindi wa Vihiga Bullets ni muhimu katika…
Rangers, Bidco United Zatoshana Nguvu KPL
Posta Rangers imeambulia pointi moja mbele ya Bidco United katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya mtanange uliopigwa Thika Leo Jumamosi ambapo mabadiliko mawili ya kocha wa Bidco Anthony Akhulia yamewapa ahueni kwa alama hiyo moja.
Posta…