Browsing Category

KPL

Kamati ya mpito ya FKF Yamaliza Muda Wake

Miezi sita ya Kamati ya mpito ya Shirikisho la Kandanda Kenya imefikia tamati ya muhula wake Leo Jumanne. Katika kukamilisha majukumu yake, imetoa mapendekezo mbalimbali kwa ajili ya kufanyiwa kazi ili makosa mengine yasijirudie kama…

Homa ya Pambano la Mashemeji Kenya Yaiva

Homa ya pambano la jadi baina ya Gor Mahia na AFC Leopards imeendelea kupanda ambapo kuelekea mchezo huo, Leo Jumatano wenyeji wa mchezo Gor Mahia wamethibitisha dimba litakalotumika kuchezea mchezo huo, utakaochezwa Mei 8, 2022. Kabla…

AFC Leopards Yaichapa Wazito FC 2-1

AFC Leopards wamelazimika kutokea nyuma kwa bao moja na kushinda goli 2-1 dhidi ya Wazito FC katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya mtanange uliopigwa Leo Jumapili dimba la Thika. AFC Leopards wanaofundishwa na kocha wa zamani wa Simba…