Browsing Category
La Liga
Benzema Apiga Hat Trick, Madrid Yashinda 6-0
Real Madrid imerudisha pengo la pointi kuwa 12 dhidi ya vinara wa Ligi Kuu nchini Hispania FC Barcelona kufuatia kuibuka na ushindi murua wa bao 6-0 dhidi ya Real Valladolid mchezo wa La Liga uliochezwa uwanja wa Santiago Bernabeu.…
Barcelona Yashusha Kipigo Kizito kwa Elche
Robert Lewandowski amefikisha bao 17 na kuendelea kuwa kinara wa upatikanaji mabao kufuatia kufunga mabao mawili kwenye ushindi wa goli 4-0 dhidi ya Elche mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga.
Lewandowski nyota wa Poland alifunga…
Yuste Amtaka Messi Barcelona
Makamu wa Rais wa Barcelona Rafael Yuste amethibitisha kuwa wanaendelea na mazungumzo na matajiri Paris St-Germain kwa ajili ya kumrudisha mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina Lionel Messi.
Messi, 35, aliondoka Barcelona mwaka 2021 na…
Barcelona Waichapa 2-1 Real Madrid
Barcelona imeibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa El Clasico wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliochezwa uwanja wa Camp Nou Jumapili.
Madrid ambao walikuwa wanahitaji kushinda ili kuweka matumaini ya…
Raphinha Aipa Ushindi Barcelona
Barcelona imerudisha pengo la uongozi dhidi ya timu iliyo nafasi ya pili Real Madrid kufikia alama tisa baada ya kushinda goli 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliochezwa Jumapili.
Kwenye mchezo…
Madrid Yaichapa 3-1 Espanyol
Real Madrid imelazimika kutokea nyuma 1-0 na kushinda kwa bao 3-1 dhidi ya Espanyol katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliochezwa uwanja wa Santiago Bernabeu.
Espanyol ambao wamekuwa kwenye wakati mgumu wa matokeo,…
Dabi ya Madrid Haina Mbabe, Real na Atletico 1-1
Licha ya kumaliza wakiwa pungufu Atletico Madrid baada ya Angel Correa kuonyeshwa kadi nyekundu, haikuwapa unafuu Real Madrid kuvuna alama tatu ambazo zingesaidia kuendeleza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga
Atletico…
Barcelona Yashinda Kwa Cadiz
Barcelona imeendelea kuwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Cadiz wakiwa dimba la nyumbani Camp Nou.
Ushindi huo unaifanya Barcelona kuwa kileleni kwa tofauti ya…
Barcelona Yashinda 1-0 dhidi ya Villarreal
Barcelona imejikita zaidi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga kwa tofauti ya pointi 11 baada ya kuichapa Villarreal bao 1-0 katika mchezo wa Ligi uliochezwa uwanja wa de la Cerámica.
Bao pekee kwenye mchezo huo…
Madrid Yashinda 2-0 dhidi ya Valencia
Real Madrid imeibutua Valencia 2 - 0 na kupunguza pengo la pointi na kinara FC Barcelona ambao walishinda Jumanne kwa Real Betis ukiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu ya La Liga.
Ushindi wa Madrid umechagizwa na ubora wa winga wa kimataifa wa…