Rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu amesema “hana wasiwasi” fowadi wa Argentina Lionel Messi ataongeza mkataba mpya ndani ya Wanacatalunya hao. Kandarasi ya sasa ya Messi, 33, inafikia kikomo mwaka 2021. Siku za hivi karibuni zilitoka ripoti mbalimbali zikionyesha kuwa Muagentina huyo hana furaha ndani ya Barcelona kutokana na madai ya kubebeshwa lawama zisizo za
