Browsing Category
La Liga
Barcelona Yatokea Nyuma na Kuitandika 3-2 Levante
Barcelona imeendeleza vichapo kunako mbilinge mbilinge za Ligi Kuu nchini Hispania La Liga baada ya usiku wa Jumapili kutoa kichapo cha jioni cha goli 3-2 dhidi ya timu ngumu ya Levante mchezo ambao ulishuhudiwa timu mwenyeji akipewa penati…
Barcelona Waunyemelea Ubingwa wa La Liga Kimya Kimya, Yaibutua Sevilla
Barcelona imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga mtanange uliopigwa dimba Camp Nou.
Ushindi wa Barca unaifanya timu hiyo kusonga mpaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa…
Real Madrid Yaichapa Celta Vigo 2-1
Karim Benzema amefunga magoli mawili kwa njia ya penati na kuisaidia timu yake kushinda bao 2-1 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga.
Ushindi huo unaifanya timu hiyo kuwa kileleni mwa msimamo wa La Liga…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Barca Yajitoa Kumsajili Haaland
Rais wa Barcelona Joan Laporta amesema hatajaribu kuiweka klabu hiyo kwenye uhatari wa kiuchumi kwa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Norwei na Borussia Dortmund Erling Braut Haaland 21.
Liverpool wana matumaini ya kumsajili kiungo…
Barcelona Yaichapa Real Madrid 4-0, Xavi Arejesha Tumaini la Ubingwa
Barcelona imeishindilia vilivyo Real Madrid katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliopigwa dimba la Santiago Bernabeu Jumapili kwa kipigo cha goli 4-0.
Akizungumza baada ya ushindi huo murua, kocha wa Barcelona Xavi…
Real Madrid Yailaza Mallorca 3-0
Real Madrid wameongeza utofauti wa alama na timu iliyonafasi ya pili na sasa ni alama 10 kufuatia kushinda goli 3-0 dhidi ya Mallorca mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliopigwa Jumatatu.
Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika…
Barcelona Yaendeleza Vipigo La Liga, Yailaza Osasuna 4-0
FC Barcelona imeishindilia goli 4-0 Osasuna katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliopigwa dimba la Camp Nou ukiwa ni ushindi wa nne mfululizo.
Katika mchezo huo magoli mawili yamefungwa na Ferran Torres bao la kwanza likiwa…
Torres, Depay Waipa Ushindi Barcelona dhidi ya wasumbufu Elche
Wachezaji wawili wa kutokea bechi Ferran Torres na Memphis Depay wamefunga mabao na kuipa Barcelona alama tatu muhimu mbele ya timu iliyoonyesha ushindani wa hali ya juu ya Elche mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga uliomalizika 2-1.…
Real Madrid Yaichapa Real Sociedad 4-1
Real Madrid imetokea nyuma na kushinda goli 4-1 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga mtanange uliopigwa Jumamosi.
Sociedad walitangulia kufunga kupitia bao la mkwaju wa penalti uliopigwa na Mikel…
Barca Yatoa adhabu kwa Athletic Bilbao 4-0 La Liga
FC Barcelona imeendelea kuwa na kiwango bora baada ya Jumapili kuishindilia Athletic Bilbao goli 4-0 huku mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang akifunga goli moja kwenye ushindi huo.
Magoli ya Barcelona ambao…