Browsing Category
Ligue 1
Messi Aipa PSG Ushindi kwa Toulouse
Paris St Germain imetokea nyuma ya goli moja bila na kushinda bao 2-1 dhidi ya Toulouse katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1.
Wakiwa katikati ya msimamo wa Ligue 1, Toulouse waliweza kutangulia kupata bao kupitia mpira wa…
Mbappe Aweka Rekodi ya Kibabe Ufaransa
Kylian Mbappe amehusika kwenye magoli sita kwenye mchezo wa Kombe la Ufaransa baada ya kufunga mabao matano na kutoa assisti kwa bao moja kwenye mtanange dhidi ya timu ya daraja la chini ya Pays de Cassel.
Ushindi wa PSG unaifanya ifuzu…
Messi Arudi na Magoli PSG
Nyota wa kimataifa wa Argentina taifa bingwa la Kombe la Dunia Qatar Lionel Messi amerejea uwanjani na goli na kuisaidia klabu yake ya Paris St-Germain kushinda bao 2-0 dhidi ya Angers mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1.
Messi,…
PSG Yaonja Joto la Jiwe, Yachapwa na Lens
Lens wameibuka na ushindi wa bao 3-1 dhidi ya Paris St-Germain katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa, mtanange uliopigwa uwanja wa Stade Bollaert.
Kichapo ambacho PSG wamekutana nacho kinakuwa cha kwanza tangia mwezi Machi lakini…
Mbappe Aipa Ushindi PSG
Kylian Mbappe ameipa ushindi Paris St-Germain mbele ya Strasbourg ukiwa ni mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Ufaransa kwa mchezaji huyo baada ya kushindwa kutetea taji la Kombe la Dunia Qatar mbele Argentina.
Beki wa Brazil, Marquinhos…
Mbappe Ataka Kuondoka PSG, Adai Kusalitiwa
Winga wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe anajihisi kusalitiwa na klabu ya PSG kwa kushindwa kumtimizia yale ambayo aliahidiwa wakati anaingia kandarasi mpya Parc Des Princes.
Mbappe, 23, ambaye anachezea PSG baada ya kutokea Monaco…
PSG Yabanwa na Reims, Ramos Aonyeshwa Kadi Nyekundu ya 28
Paris St-Germain imeshindwa kufurukuta ugenini mbele ya Reims katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 kufuatia kutoa sare tasa huku beki kitasa wa timu hiyo Sergio Ramos akionyeshwa kadi nyekundu ya 28 tangia aanze kusakata…
Messi Atupia, PSG Ikishinda Mbele ya Lyon
Lionel Messi amefunga bao la ushindi ambalo Paris St-Germain wamelipata dhidi ya Lyon katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 na kukwea mpaka nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligi hiyo.
Messi alifunga bao hilo baada ya…
Neymar Aipa Ushindi PSG dhidi ya Brest
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Neymar amefunga goli pekee kwenye ushindi wa bao 1-0 walioupata Paris St-Germain dhidi ya Brest katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 uliopigwa Jumamosi.
Staa huyo mwenye umri wa miaka 30…
Messi, Mbappe Waendeleza Furaha PSG
Matajiri wa Jiji la Paris, Paris St-Germain wameibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Nantes katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 ambapo kikosi hicho kimemaliza kikiwa pungufu kufuatia mchezaji mmoja kuonyeshwa kadi nyekundu.…