Browsing Category
Ligue 1
PSG yavuna ushindi kwa mbinde kwa Angers
Paris St-Germain imelazimika kutokea nyuma na kushinda bao 2-1 dhidi ya Angers katika mchezo wa Ligi Kuu Ufaransa Ligue 1 mtanange uliopigwa dimba la Parc Des Princes.
Wenyeji PSG walipata penati ambayo ilitoa ushindi dakika 4 kabla ya…
Mbappe azigombanisha PSG, Real Madrid
Mtendaji Mkuu wa Michezo katika klabu ya Paris St-Germain Leonardo Araujo amesema kuwa miamba ya Hispania Real Madrid inapaswa kupewa adhabu kutokana na kuanza ushawishi wa kumsajili winga wa kimataifa Ufaransa Kylian Mbappe.
Hivi…
PSG yaitandika Reims Ligue 1, Messi akicheza kwa mara ya kwanza
Lionel Messi akiingia kwenye dakika ya 66 akitoka mshambuliaji Neymar Jr, matajiri wa Jiji la Paris, Paris St-Germain walishinda bao 2-0 dhidi ya Reims katika mchezo wa Ligi Kuu Ufaransa Ligue 1.
Mshambuliaji huyo wa Argentina, akivalia…
Nice wapigwa STOP mashabiki kuingia uwanjani
Klabu ya Nice italazimika kucheza mechi zake za nyumbani bila mashabiki kutokana na mchezo wao dhidi ya Marseille Jumapili kusitishwa baada ya mashabiki kuvamia uwanjani, kwa maana hiyo mtanange dhidi ya Bordeaux utapigwa bila mashabiki.…
Shaqiri ang’oka Liverpool na kutua Lyon
Winga wa kimataifa wa Switzerland Xherdan Shaqiri amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Lyon kwa mkataba wenye thamani ya pauni milioni 9.5.
Shaqiri 29, anaondoka kufuatia kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara Liverpool tangia…
Tetesi za Mastaa Ulaya: Mbappe kutua Man United, Ndombele ataka kutoka Tottenham
Winga wa kimataifa wa Ufaransa na Paris St-Germain Kylian Mbappe, 22, ameingia kwenye listi ya wachezaji watakaosajiliwa na Manchester United msimu ujao wa dirisha kubwa la usajili.
Kiungo mshambuliaji wa Tottenham Hotspur na Ufaransa…
PSG yaitandika Brest 4-2 na kukaa kileleni mwa Ligue 1
Paris St-Germain imeibuka na ushindi wa goli 4-2 wakiwa ugenini kwa Brest katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 huku wakikosa huduma ya mshambuliaji mpya Lionel Messi na Neymar Jr.
Ushindi huo unaifanya PSG kwenda kileleni…
Messi kuendelea kukosa mechi PSG, Pochettino asema Mbappe haondoki
Licha ya kuanza kufanya mazoezi na timu, klabu ya Paris St-Germain haijafanya maamuzi ya kumtumia staa wa Argentina Lionel Messi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Ufaransa Ligue 1 dhidi ya Brest Leo Ijumaa.
Messi, mshindi wa Ballon d'Or mara…
Messi, Ramos kuitazama PSG jukwaani
Klabu ya Paris St-Germain itamenyana vikali dhidi ya Strasbourg katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa Ligue 1 ambapo kwenye mchezo huo utakuwa rasmi kwa kumtambulisha Lionel Messi baada ya usajili wake kukamilika.
Messi…
Messi asema ana ndoto za ubingwa wa Ligi ya Mabingwa PSG
Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina Lionel Messi amesema baada ya kujiunga na miamba ya soka la Ufaransa Paris St-Germain sasa anajiona mwenye deni katika kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Messi ameyasema hayo baada ya kujiunga…