Walifaulu kupata pointi tatu muhimu katika ligi ya Ufaransa lakini bila shaka ni ushindi ambao ulikuja na gharama yake na utakaomkosesha usingizi kocha Thomas Tuchel hasa kutokana na kibarua kinachomkodolea macho. Mshambuliaji wa Paris St-Germain Edinson Cavani huenda akaukosa mtanange wa Jumanne wiki ijayo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 ya Champions League
