Browsing Category
EPL
Kocha wa Muda Tottenham Stellini Afutwa Kazi
Aliyepewa nafasi ya kuifundisha Tottenham Hotspur Cristian Stellini amefutwa kazi ya ukocha wa muda ndani ya Tottenham baada ya muda mfupi akiinoa timu hiyo mechi nne pekee.
Maamuzi ya kumfuta kazi ni baada ya timu hiyo kufungwa bao 6-1…
Manchester City Yatinga Fainali, Yaichapa Sheffield United FA
Riyad Mahrez nyota wa kimataifa wa Algeria amefunga magoli matatu dhidi ya Sheffield United na kuisaidia klabu yake ya Manchester City kufuzu kucheza fainali ya Kombe la FA.
Ushindi huo unaifanya Manchester City kuwa kwenye nafasi ya…
Salah Aipa Ushindi Liverpool kwa Nottingham Forest
Mohamed Salah ameipa Liverpool ushindi kwa kufunga bao dakika za mwishoni lililoisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Nottingham Forest mchezo uliopigwa dimba la Anfield Jumamosi.
Ushindi huo muhimu kwa Liverpool…
Arsenal Yajiweka pagumu, Yatoa Sare na Southampton
Vinara wa Ligi Kuu England Arsenal wanaendelea kukutana na ugumu kwenye Ligi kufuatia kutoa sare ya 3-3 na kibonde Southampton mchezo uliochezwa Ijumaa.
Southampton waliweza kufunga magoli mawili ya haraka ndani ya dakika za kipindi cha…
Antony Aipa Ushindi Manchester United Mbele ya Nottingham Forest
Manchester United imerejea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kufuatia kutoa kichapo cha bao 2-0 dhidi ya Nottingham Forest katika mchezo uliochezwa uwanja wa Forest Jumapili.
Mabao ya Manchester United yamefungwa na…
Arsenal Yabanwa Ugenini 2-2 na West Ham United
Vinara wa Ligi Kuu England Arsenal wamedondosha alama mbili kufuatia sare ya bao 2-2 dhidi ya West Ham United katika mchezo waliongoza bao mbili na kujikuta wakiondoka na alama moja dimba la London.
Gabriel Jesus na Martin Odegaard…
Man City Yaichapa 3-1 Leicester City
Erling Haaland amefunga mabao mawili kwenye ushindi wa 3-1 walioupata Manchester City dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Etihad Jumamosi.
Mabao hayo yanamfanya Haaland kufikisha bao 47…
Chelsea Yapokea Kipigo Tena
Kocha Frank Lampard ameendelea kupokea vipigo kwenye wadhifa wa kuisimamia klabu ya Chelsea mpaka mwisho wa msimu kwani amekubali kufungwa bao 2-1 dhidi ya Brighton Hove Albino mchezo wa EPL uliochezwa dimba la Stamford Bridge Jumamosi.…
Martinez Atakuwa Nje Mpaka Mwisho wa Msimu Man United
Mlinzi wa kati ya Manchester United na Argentina Lisandro Martinez atakosa mechi zote zilizosalia za klabu yake kufuatia kupata majeruhi kwenye kifundo cha unyayo wa mguu.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 25, aliumia kwenye mechi ya Ligi…
Arsenal Yapunguzwa Kasi na Liverpool
Majogoo wa Jiji la Merseyside, Liverpool wameambulia alama moja katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya timu ngumu, timu kinara Arsenal mchezo uliopigwa dimba la Anfield.
Ni sare ya bao 2-2 ambapo kocha Jurgen Klopp alilazimika…