Liverpool imeangukia pua mbele ya Burnley baada ya kukubali kichapo cha goli 1-0 nyumbani Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini England uliopigwa Jana Alhamis, kipigo kinachomaanisha kuwa rekodi ya kutopoteza mechi 68 Anfield inavunjika rasmi. Rekodi ya Liverpool imevunjwa na mshambuliaji wa Burnley Ashley Barnes kufuatia kufunga goli kunako dakika ya 83 na kuendeleza
