Browsing Category

EPL

Kocha wa Muda Tottenham Stellini Afutwa Kazi

Aliyepewa nafasi ya kuifundisha Tottenham Hotspur Cristian Stellini amefutwa kazi ya ukocha wa muda ndani ya Tottenham baada ya muda mfupi akiinoa timu hiyo mechi nne pekee. Maamuzi ya kumfuta kazi ni baada ya timu hiyo kufungwa bao 6-1…

Man City Yaichapa 3-1 Leicester City

Erling Haaland amefunga mabao mawili kwenye ushindi wa 3-1 walioupata Manchester City dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Etihad Jumamosi. Mabao hayo yanamfanya Haaland kufikisha bao 47…

Chelsea Yapokea Kipigo Tena

Kocha Frank Lampard ameendelea kupokea vipigo kwenye wadhifa wa kuisimamia klabu ya Chelsea mpaka mwisho wa msimu kwani amekubali kufungwa bao 2-1 dhidi ya Brighton Hove Albino mchezo wa EPL uliochezwa dimba la Stamford Bridge Jumamosi.…

Arsenal Yapunguzwa Kasi na Liverpool

Majogoo wa Jiji la Merseyside, Liverpool wameambulia alama moja katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya timu ngumu, timu kinara Arsenal mchezo uliopigwa dimba la Anfield. Ni sare ya bao 2-2 ambapo kocha Jurgen Klopp alilazimika…