Browsing Category

EPL

Haaland Aweka Rekodi ya Kibabe Premier League

Erling Haaland ameweka rekodi ya namna yake England kwa kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi Kuu England kufikisha haraka bao 30. rekodi imeandikwa kufuatia mchezaji huyo kufunga magoli mawili kwenye ushindi wa bao 4-1 walioupata…

Man United Yaichapa 2-0 Everton

Manchester United imerejea katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Old Trafford Leo Jumamosi ambapo kabla ya mpira kwenda mapumziko, United ilikuwa imepiga mashuti 45 yaliyolenga goli yakiwa ni…

Lampard Kocha Mpya wa Muda wa Chelsea

Frank Lampard ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu, ikiwa ni miaka miwili tangia kufutwa kikosini hapo. Lampard raia wa Uingereza mwenye umri wa miaka 44, ndiye kinara wa kupachika mabao Chelsea na anachukua…

Chelsea, Liverpool Hakuna Mbabe

Chelsea imelazimishwa sare tasa na Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu England katika mchezo uliochezwa uwanja wa Stamford Bridge huku Chelsea ikiendelea kukosa ufanisi katika eneo la ushambuliaji. The Blues wakiwa hawana kocha kufuatia…

Klopp Asifia Mafanikio Yake Liverpool I

Jurgen Klopp kocha wa Liverpool ameeleza kuwa kinachomfanya abakie Liverpool mpaka sasa licha ya matokeo hafifu ni mafanikio aliyoyapata katika miaka iliyopita hapo klabuni. Klopp amesema hayo wakati akiwa anazungumzia fukuza fukuza ya…