Browsing Category
EPL
Haaland Aweka Rekodi ya Kibabe Premier League
Erling Haaland ameweka rekodi ya namna yake England kwa kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi Kuu England kufikisha haraka bao 30. rekodi imeandikwa kufuatia mchezaji huyo kufunga magoli mawili kwenye ushindi wa bao 4-1 walioupata…
Lampard Aiongoza Chelsea Kufungwa 1-0 na Wolves
Licha ya kufanya mabadiliko ya kocha, Chelsea imekutana na kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Wolves katika mchezo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Molineux Jumamosi.
Chelsea ambayo ilimfuta kazi Graham Potter na kumchukua Frank…
Man United Yaichapa 2-0 Everton
Manchester United imerejea katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Old Trafford Leo Jumamosi ambapo kabla ya mpira kwenda mapumziko, United ilikuwa imepiga mashuti 45 yaliyolenga goli yakiwa ni…
Burnley Yarudi PL Baada ya kuwa nje Msimu Mmoja
Kikosi cha Burnley kimefanikiwa kurejea kwenye Ligi Kuu England ikiwa ni mara ya kwanza tangia washuke daraja msimu uliopita.
Kikosi hicho kimepanda daraja chini ya uongozi wa kocha na mchezaji wa zamani wa Manchester City Vincent…
Nilidhani Eriksen Asingecheza Tena – ten Hag
Kocha Manchester United Erik ten Hag ameeleza kuwa alidhani kiungo wake wa kimataifa wa Denmark Christian Eriksen asingecheza tena msimu huu kutokana na majeruhi aliyoyapata kwenye mechi ya Kombe la FA mwezi Januari dhidi ya Reading.…
Lampard Kocha Mpya wa Muda wa Chelsea
Frank Lampard ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu, ikiwa ni miaka miwili tangia kufutwa kikosini hapo.
Lampard raia wa Uingereza mwenye umri wa miaka 44, ndiye kinara wa kupachika mabao Chelsea na anachukua…
Chelsea, Liverpool Hakuna Mbabe
Chelsea imelazimishwa sare tasa na Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu England katika mchezo uliochezwa uwanja wa Stamford Bridge huku Chelsea ikiendelea kukosa ufanisi katika eneo la ushambuliaji.
The Blues wakiwa hawana kocha kufuatia…
Aliyemsukuma Refarii Apewa Afungiwa Mechi Nane
Mshambuliaji wa Fulham Aleksandar Mitrovic amefungiwa mechi nane kutokana na kitendo cha kumsukuma refarii Chris Kavanagh katika mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Manchester United uliochezwa Machi 19.
Strika huyo raia wa Serbia wakati wa…
Mlinzi wa kushoto wa Manchester United Luke Shaw ameongeza mkataba mpya wa kuendelea kukitumikia…
Mlinzi wa kushoto wa Manchester United Luke Shaw ameongeza mkataba mpya wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho kwa muda wa miaka mitano.
Shaw mwenye umri wa miaka 27, amekuwa kwenye wakati bora tangia kujiunga na Man United akitokea…
Klopp Asifia Mafanikio Yake Liverpool I
Jurgen Klopp kocha wa Liverpool ameeleza kuwa kinachomfanya abakie Liverpool mpaka sasa licha ya matokeo hafifu ni mafanikio aliyoyapata katika miaka iliyopita hapo klabuni.
Klopp amesema hayo wakati akiwa anazungumzia fukuza fukuza ya…