Browsing Category
EPL
Man City Yabanwa Mbavu na West Ham United
Vinara wa Ligi Kuu England, Manchester City wamelazimisha sare ya 2-2 na wenyeji West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England mtanange uliopigwa Leo Jumapili katika uwanja wa London Jijini London.
West Ham walitangulia kwa mabao…
Liverpool Mabingwa Kombe la FA, Waichapa Chelsea
Liverpool imeibuka na ushindi kwenye mechi ya kibabe ambayo imechezwa Leo hii dhidi ya Chelsea katika fainali ya Kombe la FA mtanange uliopigwa dimba la Wembley.
Ushindi wa Liverpool ambao wameendelea kuchuchumilia uwezekano wa kushinda…
Sanamu ya Aguero Yazinduliwa Etihad
Manchester City imezindua sanamu ya aliyekuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina Sergio Kun Aguero, ambayo inaonyesha namna alivyoshangilia baada ya kufunga bao la dakika ya mwisho lililoipa ubingwa Man City mwaka 2012.
Sanamu hiyo…
De Bruyne, Salah Kushindania Tuzo za EPL
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2020 Kevin de Bruyne ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa msimu sambamba na Mohamed Salah na wachezaji wengine wanane.
Katika kinyang'anyiro hicho, wachezaji…
Spurs Yainyoosha Arsenal, Yaichapa 3-0
Tottenham Hotspur imeibutua bao 3-0 Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa Alhamis hii kwenye uwanja wa Tottenham.
Ukiwa kama mchezo wa derby ya Kaskazini mwa London, Spurs walionekana kuanza kuutawala mchezo huo…
Aston Villa Yamnasa Coutinho Moja kwa Moja
Aston Villa imekamilisha uhamisho wa moja kwa moja wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Philippe Coutinho kutokea Barcelona.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 29 alijiunga na Aston Villa mwezi Januari kwa mkopo akitokea Barca huku…
Fabinho Kuikosa Chelsea fainali Kombe la FA
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amethibitisha kuwa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Brazil Fabinho atakosa mechi ya fainali ya Kombe la FA dhidi ya Chelsea Jumamosi.
Fabinho aliumia kwenye mechi ya Jumanne dhidi ya Aston Villa ambapo…
Man City Yaichapa Wolves 5-1, Ubingwa Wanukia
Vinara wa Ligi Kuu England Manchester City wameitandika Wolverhampton Wanderers bao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England mchezo uliopigwa dimba wa Molinex Jumatano ya Aprili 12.
Nyota Mbelgiji, Kevin De Bruyne pekee yake amefunga…
Chelsea Yailaza Leeds United 3-0
Klabu ya Chelsea imeibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya wenyeji Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England mtanange uliopigwa dimba la Elland Road West Yorkshire Jumatano.
Mabao ya Chelsea yamefungwa na Mason Mount dakika ya nne,…
Liverpool Yarudi Kwenye Ushindi, Yaichapa Aston Villa 2-1
Majogoo wa Merseyside Liverpool wamerudi kwenye njia ya ushindi kufuatia kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Aston Villa katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, mtanange uliopigwa dimba la Villa Park Birmingham.
Mabao ya…