Browsing Category
EPL
Klopp amumwagia sifa Ralf Rangnick wa Man United
Kocha wa kikosi cha Majogoo wa Jiji la Merseyside Liverpool Jurgen Klopp amemsifia kocha mtarajiwa wa Manchester United Ralf Rangnick kuwa ni kocha mzuri kiasi kwamba siyo taarifa nzuri kwa baadhi ya timu.
"Katika hali ya kushangaza…
Arteta ataka Wenger ajiunge na Arsenal
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amesema anaendelea na juhudi za kuona aliyewai kuwa kocha wa timu hiyo Arsene Wenger anarejea klabuni hapo kutokana na heshima ambayo aliiweka klabuni hapa.
Wenger, 72, ambaye aliiongoza Arsenal kushinda…
Rangnick, mrithi wa muda wa Solskjaer Man United
Manchester United imefikia maamuzi ya kumteua kocha Ralf Rangnick kuwa kocha wao wa muda kwa mkataba wa miezi sita kurithi mikoba ya kocha Ole Gunnar Solskjaer.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 63, raia wa Ujerumani atajiunga na kikosi…
Pochettino ahusishwa Man United
Kocha wa kikosi cha matajiri wa Jiji la Paris, Paris St-Germain Mauricio Pochettino ameweka wazi kuwa anaweza kuondoka klabuni hapo endapo ofa na mpango mzuri utawekwa na klabu ya Manchester United ili kurithi mikoba ya Ole Gunnar Solskjaer…
Conte apata ushindi wa kwanza Spurs mbele ya Leeds United
Kocha Antonio Conte amekiongoza kikosi cha Tottenham Hotspur kushinda mechi ya kwanza ya Ligi Kuu England baada ya kuifunga goli 2-1 Leeds United mchezo uliopigwa Leo Jumapili Novemba 21.
Spurs imelazimika kutokea nyuma kwa bao 1-0 na…
Man City yaitandika 3-0 Everton EPL
Manchester City wamepata ushindi rahisi wa bao 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu England mtanange uliopigwa dimba la Etihad Leo Jumapili Novemba 21.
Ushindi huo unaifanya Manchester City kukwea mpaka nafasi ya pili kwenye…
Man United yakubali yaishe kwa Solskjaer
Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer anakusudiwa kuondoka klabuni hapo baada ya kuiongoza timu hiyo kuangukia kwenye kipigo cha goli 4-1 dhidi ya Watford katika mchezo wa Ligi uliopigwa Jumamosi Novemba 20.
Hakuna taarifa…
Solskjaer atimuliwa Man United, kocha wa sita EPL kutimuliwa
Ni raundi 12 zimechezwe kwenye mbilinge mbilinge za Ligi Kuu England tangia kuanza kwa msimu 2021/22. Katika mechi hizo kumi na mbili tayari makocha sita wamefurushwa mizigo yao kutokana na matokeo hasi, wakati kipindi kama hicho msimu…
Arteta akubali kipigo cha Liverpool 4-0
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amesema walikuwa wanastahili kufungwa na Liverpool kutokana na ubora wa kikosi hicho.
Arteta anasema hayo baada ya kushuhudia kikosi chake kikichapwa bao 4-0 katika dimba la Anfield mchezo uliopigwa Jumamosi…
De gea asema kipigo ni aibu, amtetea Solskjaer
Kipa wa Manchester United David de Gea amesema kipigo ambacho timu yake imekipata cha kupoteza goli 4-1 dhidi ya Watford ni aibu isiyovumilika.
United inapoteza mechi nyingine ambapo sasa imeangukia kwenye nafasi ya saba msimamo wa Ligi…