Manchester City imeibuka washindi wa mchezo wa Ligi Kuu nchini England dhidi ya Chelsea uliopigwa dimba la Stamford Bridge kwa ushindi wa goli 3-1 na kuendelea kuongeza hofu juu ya hatima ya Kocha Frank Lampard. Wageni City walikuwa bila nyota wake kadhaa kutokana na janga la virusi vya Corona baada ya mwanzoni kukutwa na maambukizi
