Browsing Category
Rugby
Safari Sevens Order of Play Released
Zimbabwe and Germany will get action in the men’s competition underway as the 2021 Safari Sevens kicks off on Saturday 30 October 2021 at the Nyayo National Stadium.
The two sides will meet in a Pool A encounter at 9.20am,…
Safari Sevens Returns With Age Group Rugby Set for Friday
Age grade and vets rugby will get the 2021 Safari Sevens underway on Friday 29 October at the Nyayo National Stadium.
The age grade competition will feature action in the U12 and U14 mixed tag rugby categories. The youngsters will get…
Amonde kuwapeleka Shujaa Dubai mashindano ya IRB Series
Andrew Amonde atakuwa nahodha wa kikosi cha Rugby cha Kenya kitakachoshiriki mashindano ya kimataifa ya Rugby ya wachezaji saba kila upande – 2019/20 IRB Series ambayo yanangoa nanga Dubai mwezi ujao. Wakati akitangaza kikosi cha awali,…
Feeney awataka Shujaa kujiimarisha zaidi katika ulinzi
Kocha mkuu wa timu ya raga ya Kenya Paul Feeney anataka Shujaa kumakinika upande wa Ulinzi, na kupiga mikiki kabla ya michuano ya raga ya Dubai Sevens mwezi ujao. Mzaliwa huyo wa New Zealand, ambaye alichukua usukani miezi mwili iliyopita,…
Shujaa kuanza mazoezi ya michuano ya IRB
Timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande sasa itaanza mazoezi ya michuano ya kimataifa ya IRB Sevens wiki ijayo, siku kadhaa baada ya kufuzu katika michecho ya Olimpiki ya 2020. Shujaa iliilaza Uganda 31-0 katika fainali…
Rugby – Kenya yatinga michezo ya Olimpiki
Timu ya taifa ya Kenya ya mchezo wa raga ya wachezaji kila upande, Shujaa imefuzu katika michezo ya Olimpiki mwaka ujao jijini Tokyo nchini Japan, baada ya kuilaza Uganda alama 31- 0 jioni hii katika uwanja wa Bosman jijini Johannesburg…
Injera kurejea kikosini kabla ya michuano ya Dubai Sevens
Mchezaji nyota wa Raga nchini Collins Injera anatarajiwa kurejea katika kikosi cha taifa, kabla ya michuano ya Dubai Sevens mwezi ujao. Injerea anauguza jeraha la bega alilopata wakati wa michuano ya Safari Sevens mwezi uliopita, na atakosa…
Kikosi cha Shujaa cha ubingwa wa Afrika chatangazwa
Mkurugenzi wa kiufundi wa Muungano wa Raga nchini Kenya Paul Feeney amekitaja kikosi cha wachezaji 12 cha Shujaa cha mechi za ubingwa wa Afrika kwa raga ya wachezaji saba kila upande ambazo pia zitatumiwa kama mechi za kufuzu kwa…
Amonde kuongoza kikosi cha Shujaa katika kufuzu Olimpiki
Andrew Amonde atakuwa nahodha wa kikosi cha raga cha wachezaji saba kila upande katika mechi za ubingwa wa afrika ambazo pia zitatumika kwa kufuzu katika mashindano ya Olimpiki jijini Tokyo mwaka wa 2020 jijini Johannesberg, Afrika…