Browsing Category

Serie A

Juventus Yabanwa 3-3 na Atalanta

Juventus imefanikiwa kuvuna alama moja nyumbani dhidi ya Atalanta katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A uliomalizika kwa sare ya bao 3-3. Atalanta ikiwa moja ya timu zenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi za magoli ilichukua…

AC Milan Waendeleza Vita na Napoli

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Italia AC Milan wameendelea kuipa presha Napoli kileleni mwa msimamo wa Serie A baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Salernitana mchezo uliochezwa Leo Jumatano. Matokeo hayo yanaifanya…

Pogba Yamemkuta Juventus

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba amekutwa na majeruhi ya goti ambapo taarifa ya Juventus imethibitisha kuwa inakusudia kumfanyia vipimo vya awali. Kutokana na majeruhi hayo, Pogba mwenye umri wa miaka 29, atakosa…