Browsing Category
Serie A
Napoli Yaichapa Sassuolo, Osimhen a endelea kupaa
Vinara wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A Napoli wameendelea kuthibitisha ubora wao msimu huu kwa kutanua mwanya kileleni kwa tofauti ya pointi 18 dhidi ya timu iliyo nafasi ya pili Inter Milan baada ya ushindi mjarabu wa bao 2-0 dhidi ya…
Juventus Yabanwa 3-3 na Atalanta
Juventus imefanikiwa kuvuna alama moja nyumbani dhidi ya Atalanta katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A uliomalizika kwa sare ya bao 3-3.
Atalanta ikiwa moja ya timu zenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi za magoli ilichukua…
Juventus Yapokonywa Pointi 15, Yashushwa Mpaka Nafasi ya 11
Miamba ya soka la Italia Serie A Juventus imepokonywa alama 15 na Shirikisho la Kandanda nchini Italia FIGC kufuatia uchunguzi uliofanywa kubaini makosa katika usajili wa klabu hiyo kwa misimu kadhaa iliyopita.
Shirikisho hilo limesema…
AC Milan Waendeleza Vita na Napoli
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Italia AC Milan wameendelea kuipa presha Napoli kileleni mwa msimamo wa Serie A baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Salernitana mchezo uliochezwa Leo Jumatano.
Matokeo hayo yanaifanya…
Monza Yairarua Juventus, Allegri Akalia Kuti Kavu
Timu mpya kwenye Serie A Monza imefanikiwa kupata ushindi wa kwanza katika historia ya klabu hiyo dhidi ya Juventus katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia wa bao 1-0 kichapo ambacho kinaendelea kuweka kiti cha Massimiliano Allegri…
Wachezaji Watatu Kadi Nyekundu, Juve Yatoa Sare na Salernitana
Juventus wamelazimisha sare ya bao 2-2 na Salernitana katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia licha ya timu hiyo kumaliza mchezo ikiwa pungufu kwa wachezaji wawili kutokana na kuonyeshwa kadi nyekundu.
Juventus mabao yake ya kusawazisha…
Lukaku Ang’aa Inter Ikishinda 3-0 dhidi ya Spezia
Inter Milan imeichapa bao 3-0 Spezia ukiwa ni ushindi wa pili kwenye Ligi Kuu nchini Italia msimu huu.
Katika mchezo huo, mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Chelsea na Everton Romelu Bolingoli Lukaku ametengeneza bao moja kwa…
Milan Yaanza Vyema Serie A, Yaichapa 4-2 Udinese
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A AC Milan wameibuka na ushindi wa bao 4-2 dhidi ya Udinese ukiwa ni mchezo wa kwanza wa Ligi hiyo kwa msimu huu 2022/23.
Wakati kukiwa na furaha na kelele kwa wenyeji majukwaani waliweza…
Mmiliki wa Napoli Aiponda Michuano ya Afrika
Mmiliki na Rais wa Napoli Aurelio de Laurentiis amesema kuwa hataendelea kufanya usajili wa wachezaji raia wa Afrika, atafanya hivyo tu endapo mchezaji huyo atakubali kuwa hatakuwa anashiriki mashindano mbalimbali yanayoandaliwa katikati ya…
Pogba Yamemkuta Juventus
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba amekutwa na majeruhi ya goti ambapo taarifa ya Juventus imethibitisha kuwa inakusudia kumfanyia vipimo vya awali.
Kutokana na majeruhi hayo, Pogba mwenye umri wa miaka 29, atakosa…