Browsing Category
Serie A
Ibrahimovic kitanzini AC Milan
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden na AC Milan Zlatan Ibrahimovic yuko kwenye mazungumzo ya mwisho ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho.
Mkataba wa sasa wa Zlatan Ibrahimovic mwenye umri wa miaka 39,…
Inter Milan wanusa taji la kwanza la Serie A baada ya miaka 11 kwa ushindi mwembamba dhidi ya…
Inter Milan wamekwea kileleni kwa tofauti ya alama nane kwenye msimamo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A kufuatia kuwachapa bao 1-0 Bologna mtanange uliopigwa Jana Jumamosi Aprili 3.
Lukaku aliipa uongozi Inter kunako dakika ya 31 ya…
Ronaldo ampa auheni Andrea Pirlo, Juve yabanwa 2-2 na Torino
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno Cristiano Ronaldo ameisaidia timu yake YA Juventus kuondoka na alama moja kwenye mechi ya dabi dhidi ya Torino Ligi Kuu nchini Italia iliyopigwa Leo Jumamosi Aprili 3.
Kiungo Federico Chiesa alifunga…
Dybala, Authur pasua kichwa Juventus
Kocha wa kikosi cha Juventus Andrea Pirlo hajawajumuisha wachezaji watatu wa timu yake itakayochuana vikali na Torino Kesho Jumamosi mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia kufuatia nyota hao kukiuka misingi ya kujikinga na virusi vya Corona.…
Lazio yapigwa faini kwa kutoripoti maambukizi mapya ya Covid-19 Italia
Klabu ya Lazio inayoshiriki Ligi Kuu nchini Italia imepigwa faini ya Euro 128,000 pamoja na Rais wa klabu hiyo Claudio Lotito kufungiwa miezi nane baada ya kukiuka kanuni za kujilinda na janga la virusi vya Corona.
Lazio…
Makamu Mwenyekiti wa Juventus asema Ronaldo bado yupo sana Turin, haondoki
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Juventus inayoshiriki Ligi Kuu nchini Italia Pavel Nedved amesema staa wa timu hiyo Cristiano Ronaldo ataendelea kukitumikia kikosi cha Juve mpaka tamati ya kandarasi yake.
Nedved anayasema hayo baada ya…
Juventus wafungwa 1-0 na Benevento, Ronaldo atupia bao lakataliwa
Matumaini ya Juventus kubeba taji la Ligi Kuu nchini Italia yanaendelea kuingia vumbi baada ya leo Jumapili kukutana na kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Benevento ambao hata kwenye msimamo wa Serie A bado hawafanyi vizuri.
Goli pekee la…
Martinez aipa Inter Milan auheni kileleni mwa msimamo wa Serie A kwa bao muhimu
Lautaro Martinez amefunga bao muhimu katika mechi ya Ligi Kuu nchini Italia Serie A dhidi ya Torino iliyomalizika kwa Inter kushinda 2-1 na kujiimarisha kileleni kwa tofauti ya alama tisa.
Martinez alimalizia krosi maridhawa ya winga wa…
Ronaldo atupia hat-trick ya haraka zaidi, Juve ikishinda Cagliari 3-1
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno Cristiano Ronaldo amefunga goli zote tatu za Juventus katika ushindi wa 3-1 wa mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A dhidi ya Cagliari na kuandikisha rekodi ya kufunga goli tatu yaani hat-trick ya…
Milan yapambania taji Serie, A yaichapa Verona na kupunguza pengo dhidi ya watani wao Inter
AC Milan wameendelea kuwapumlia Inter Milan begani kileleni mwa msimamo wa Serie A, baada ya mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia dhidi ya Verona kumalizika kwa ushindi wa 2 - 0. Sasa wako nyuma ya watani wao wa Jiji la Milan na tofauti ya…