Browsing Category

Serie A

Juve Yailaza Sassuolo Serie A

Bao la jioni la mshambuliaji wa zamani wa Everton, PSG na sasa Juventus Moise Kean limeipa ushindi wa bao 2-1 timu hiyo dhidi ya Sassuolo mchezo wa Ligi Kuu Italia Serie A mtanange uliopigwa Jumatatu usiku. Ushindi huo unaifanya Juve…

Inter Milan Yaichapa AC Milan 3-0

Inter Milan imewafunga bao 3-0 wapinzani wao wa karibu AC Milan katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Coppa Italia huku mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez akiingia kambani mara mbili. Mchezo huo ulikuwa ni mchezo wa marudiano…

Inter Yaichapa Juventus 1-0

Inter Milan imeibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi wenyeji Juventus katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A mtanange uliopigwa Jumamosi. Ni ushindi muhimu kwa Inter ambao ni mabingwa watetezi wa Serie A kwani unawasogeza…

Inter Milan Yaichapa Salernitana 5-0

Inter Milan baada ya kuwa kwenye kiwango kibovu na kushindwa kupata matokeo ya ushindi, Ijumaa imeichapa bao 5-0 klabu ya Salernitana inayoshika nafasi za mkia, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Italia Serie A. Katika mchezo huo, mshambuliaji…