Browsing Category
Serie A
Inter Milan Yakwea Kileleni mwa Serie A, Yaichapa Empoli 4-2
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A Inter Milan wamelazimika kutokea nyuma kwa bao mbili na kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Empoli katika mchezo uliochezwa Ijumaa.
Ushindi wa Inter Milan ambayo ipo kwenye…
Inter Milan Wamepoteza kwa Bologna, Ubingwa Rehani
Inter Milan wamepoteza nafasi ya kwenda kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A kufuatia kukubali kufungwa bao 2-1 na Bologna mchezo uliopigwa Leo Jumatano.
Ushindi wa Bologna unaweza sema ni zawadi ya AC Milan hasa kwa…
Juve Yailaza Sassuolo Serie A
Bao la jioni la mshambuliaji wa zamani wa Everton, PSG na sasa Juventus Moise Kean limeipa ushindi wa bao 2-1 timu hiyo dhidi ya Sassuolo mchezo wa Ligi Kuu Italia Serie A mtanange uliopigwa Jumatatu usiku.
Ushindi huo unaifanya Juve…
Inter Yaichapa Roma 3-1 na kupanda nafasi ya kwanza
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A Inter Milan wamepanda mpaka nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligi hiyo kufuatia kuibuka na ushindi wa bao 3-1 dhidi ya AS Roma mchezo uliochezwa Leo Jumamosi.
Ushindi wa Inter unakuwa…
Inter Milan Yaichapa AC Milan 3-0
Inter Milan imewafunga bao 3-0 wapinzani wao wa karibu AC Milan katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Coppa Italia huku mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez akiingia kambani mara mbili.
Mchezo huo ulikuwa ni mchezo wa marudiano…
Inter Yaichapa Juventus 1-0
Inter Milan imeibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi wenyeji Juventus katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A mtanange uliopigwa Jumamosi.
Ni ushindi muhimu kwa Inter ambao ni mabingwa watetezi wa Serie A kwani unawasogeza…
AC Milan Yapeta, Inter Milan Yavutwa Shati Serie A
Nyota wa kimataifa wa Algeria Ismael Bennacer amefunga goli pekee kwenye ushindi wa bao 1-0 walioupata AC Milan dhidi ya Cagliari mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A uliochezwa Jumamosi.
Ushindi huo unaifanya AC Milan kwenda…
AC Milan Yaichapa Empoli, waongeza pengo kileleni
Vinara wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A AC Milan wameongeza pengo la alama na kufikia tano baada ya kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Empoli mchezo wa uliochezwa dimba la San Siro Jumapili.
Pierre Kalulu ndiye aliyefunga bao pekee…
AC Milan Waitwanga Napoli na kurudi kileleni Serie A
AC Milan wamevuna alama tatu za kibabe dhidi ya Napoli katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A goli pekee kwenye mchezo huo limefungwa na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, na Arsenal Olivier Giroud.
Straika huyo wa Ufaransa…
Inter Milan Yaichapa Salernitana 5-0
Inter Milan baada ya kuwa kwenye kiwango kibovu na kushindwa kupata matokeo ya ushindi, Ijumaa imeichapa bao 5-0 klabu ya Salernitana inayoshika nafasi za mkia, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Italia Serie A.
Katika mchezo huo, mshambuliaji…