Browsing Category
TPL
Job Ajifunga Kuwatumikia Wananchi
Mlinzi wa kati wa kimataifa wa Tanzania Dickson Job ameongeza mkataba mpya wa kuitumikia kikosi cha Yanga, kandarasi ya miaka miwili.
Job, 22, ambaye amekuwa nahodha msaidizi klabuni hapo, mkataba wake wa sasa unamalizika mwishoni wa…
Yanga Yaingia Anga za Kupinga Mmonyoko wa Maadili
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kupitia kwa Waziri Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima imeingia kwenye makubaliano na klabu ya Yanga kwa ajili ya kupinga na kutokomeza mmomonyoko wa maadili na unyanyasaji wa kijinsia…
KMC Yamfurusha Kocha Hitimana, Julio Apata Shavu
KMC imefikia maamuzi ya kumfuta kazi Kocha Mnyarwanda, Thierry Hitimana na wasaidizi wake wote nafasi yake imechukuliwa na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye anaingia na wasaidizi wake kuanzia sasa.
Hitimana anaondolewa kufuatiwa mwenendo…
Geita Gold Yaipiga 2-0 KMC
Wachimba Madini wa Geita, Geita Gold wamevuna matokeo chanya ya bao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange uliopigwa dimba la Uhuru Dar es Salaam mapema Jumanne.
Magoli ya Geita yamefungwa na Elias…
Aziz Ki Awajibu Wanaombeza, Atupia Tatu, Yanga Yaichapa 5-0 Kagera Sugar
Vinara wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga wameibutua bao 5-0 Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi uliochezwa uwanja wa Azam Complex nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam Jumanne.
Mchezaji wa kimataifa wa Burkina Faso Stephane Aziz Ki…
Simba Waichabanga Ihefu SC 2 – 0
Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa uwanja wa Highland Estate uliopo Ubaruku Mbarali mkoani Mbeya.
Kwenye mechi hiyo, mabao yote mawili yamefungwa na…
Kocha Nabi wa Yanga Arejea Nchini
Kocha Mtunisia Nasredine Nabi amerejea nchini Tanzania kufuatia kuwa nje ya kikosi cha Yanga kwa takribani siku 14 ikielezwa kuwa alikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Mchezo wa kwanza ambao Nabi hakuonekana ulikuwa wa Kombe la…
Simba Watua Mbarali Kuivaa Ihefu
Klabu ya Simba itachuana vikali na Ihefu SC "Mbogo Maji" katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara utakaochezwa uwanja wa Highland Estate uliopo Ubaruku Mbarali mkoani Mbeya Jumatatu Aprili 10.
Simba ambayo inashika nafasi ya pili…
Baleke, Oliviera Watamba Ligi Kuu
Mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Jean Baleke amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2022/23, huku Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Roberto Oliviera, akichaguliwa Kocha Bora wa mwezi huo.…
Yanga Haoo, Waifuata Singida Big Stars Nusu Fainali ASFC
Klabu ya Yanga itacheza na Singida Big Stars kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam kufuatia kuitoa Geita Gold FC kwa kuichapa bao 1-0 mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Bao…