Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania klabu ya Simba imesema kabla ya Jumatano ambapo mashindano ya Simba Super Cup yatakuwa yanaanza watakuwa wamemtambulisha kocha wao mpya ingawa kuanzia kesho jopo saidizi litaanza kutangazwa kesho. Sven Vandenbroeck ambaye alikuwa Kocha Mkuu wa Simba alibwaga manyanga Januari 7 muda mfupi baada ya kuifikisha timu hiyo hatua
