Browsing Category

TPL

Job Ajifunga Kuwatumikia Wananchi

Mlinzi wa kati wa kimataifa wa Tanzania Dickson Job ameongeza mkataba mpya wa kuitumikia kikosi cha Yanga, kandarasi ya miaka miwili. Job, 22, ambaye amekuwa nahodha msaidizi klabuni hapo, mkataba wake wa sasa unamalizika mwishoni wa…

Geita Gold Yaipiga 2-0 KMC

Wachimba Madini wa Geita, Geita Gold wamevuna matokeo chanya ya bao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange uliopigwa dimba la Uhuru Dar es Salaam mapema Jumanne. Magoli ya Geita yamefungwa na Elias…

Simba Waichabanga Ihefu SC 2 – 0

Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa uwanja wa Highland Estate uliopo Ubaruku Mbarali mkoani Mbeya. Kwenye mechi hiyo, mabao yote mawili yamefungwa na…

Kocha Nabi wa Yanga Arejea Nchini

Kocha Mtunisia Nasredine Nabi amerejea nchini Tanzania kufuatia kuwa nje ya kikosi cha Yanga kwa takribani siku 14 ikielezwa kuwa alikuwa kwenye matatizo ya kifamilia. Mchezo wa kwanza ambao Nabi hakuonekana ulikuwa wa Kombe la…

Simba Watua Mbarali Kuivaa Ihefu

Klabu ya Simba itachuana vikali na Ihefu SC "Mbogo Maji" katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara utakaochezwa uwanja wa Highland Estate uliopo Ubaruku Mbarali mkoani Mbeya Jumatatu Aprili 10. Simba ambayo inashika nafasi ya pili…

Baleke, Oliviera Watamba Ligi Kuu

Mshambuliaji wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Jean Baleke amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2022/23, huku Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Roberto Oliviera, akichaguliwa Kocha Bora wa mwezi huo.…