Kocha mkuu wa kikosi cha Simba Sven Vandenbroeck ameweka wazi baadhi ya wachezaji wake ambao wataukosa mchezo wa leo dhidi ya Polisi Tanzania katika uwanja wa Mkapa VPL. Simba ambayo inanolewa na kocha Sven Vandenbroeck imesema Rarry Bwalya itaukosa mchezo wa leo lakini mbali na hao Joash Onyango na Chris Mugalu kuna hatihati ya kuukosa mtanange
