Mwalimu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa ushindi walioupata mbele ya Mtibwa Sugar umetokana na kuwasoma wapinzani hao kwa muda mrefu ndani na nje ya uwanja. Jana Jumamosi, Februari 20 Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Bao pekee la ushindi
