Browsing Category
TPL
Bila Lwandamina hakuna tatizo Azam, yaipiga Warriors
Kikosi cha Azam Fc kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Greeen Warriors katika mchezo wa Kombe la Azam Sports Federation Cup( ASFC) mtanange uliopigwa dimba la Azam Complex nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Ushindi huo…
Yanga yaishushia zigo la goli Ihefu Kombe la ASFC
Wanafainali wa Kombe la Shirikisho la TFF, klabu ya Yanga wameanza vyema kampeni ya kuwania taji hilo kwa msimu huu 2021/22 baada ya kuitandika Ihefu FC bao 4-0 katika mchezo uliopigwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Disemba…
Omog atimuliwa Mtibwa Sugar, Mayanga ahusishwa
"Kuruka-ruka kwa maharage yakiwa kwenye sufuria jikoni ndiko kuivaa kwake" licha ya kukanusha taarifa mara kadhaa juu ya kumfuta kazi ya ukocha Joseph Omog, hatimaye maharage yameivaa na Omog ametimulowa katika viunga vya Manungu, Morogoro.…
JKT Tanzania wapigishwa kwata na Simba
Simba Sc imefanikiwa kwenda raundi ya nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania inayoshiriki Ligi daraja la kwanza.
Ushindi wa Simba…
Jeremiah Juma, Mayanga watwaa tuzo NBC League
Strika matata wa Tanzania Prisons ya Rukwa, Jeremiah Juma ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Novemba, wakati Kocha Mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi huo wa Ligi Kuu ya NBC.
Kikao cha Kamati ya…
Lwandamina atimuliwa Azam FC
Azam FC imefikia maamuzi ya kumfuta kazi ya ukocha klabuni hapo aliyekuwa George Lwandamina na msaidizi wake Bahati Vivier.
Maamuzi ya kumfuta kazi kocha huyo yamefikiwa baada ya matokeo ya sare tasa ya mchezo wa Azam waliokuwa wenyeji…
MO aanzisha kuchangia kujenga Uwanja Simba
Baada ya tukio la Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez kuzuiliwa kuingia uwanjani katika mchezo wa Watani wa Jadi baina ya Simba wenyeji na Yanga kwa kile kichoelezwa kuwa alikiuka utaratibu wa TFF na TPLB, Mabingwa watetezi wa…
MO Dewji atoa neno alichofanyiwa Barbara
Mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji maarufu kama MO amesema ni aibu kuona kile kilichotokea Jana Jumamosi Disemba 11,2021 kwenye mechi ya Watani wa Jadi baina ya Simba wenyeji na Yanga ambapo Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo alizuiliwa…
Simba, Yanga Hakuna Mbabe Dar
Baada ya tambo za hapa na pale na presha ya Dabi ya Kariakoo baina ya Simba wenyeji na Yanga hatimaye mchezo huo umepigwa Leo Jumamosi Disemba 11 na kukosa mbabe kufuatia kugawana alama katika sare tasa.
Katika mechi ambayo ilikuwa vuta…
Dabi ya Simba, Yanga iko pale pale – Mguto
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Steven Mguto amesema mchezo wa dabi baina ya Simba wenyeji na Yanga uliopangwa kufanyika katika dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Disemba 11, 2021 uko pale pale kama ambavyo umepangwa.…