Browsing Category
TPL
Mzee wa Kukera Morrison abeba tuzo Simba
Mzee wa Vituko aibuka shujaa akabidhiwa tuzo yake. Unamjua ni nani? Basi ni yule ambaye kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho la TFF alifanya tukio kama lile alilofanya mchezaji mmoja wa Italia baada ya kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia…
Tonombe asema “Nisameheni” Yanga
Waswahili wana usemi wao kuwa kuomba msamaha sio kujidogosha bali ni heshima na utu" sasa kiungo mkabaji wa Yanga, Mukoko Tonombe amewaomba msamaha mashabiki, benchi la ufundi pamoja na uongozi wa klabu hiyo kwa ujumla kutokana na…
Simba yaenda kwenye mapumziko baada ya kubeba Kombe la FA
Simba baada ya kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho la TFF imewapa nafasi wachezaji wake kurudi makwao kwa ajili ya mapumziko mafupi kufuatia kuwa kambini kwa muda mrefu wakishiriki michuano minne.
Simba ilishiriki mashindano…
Simba Mabingwa wa Kombe la FA, waitandika Yanga pungufu Kimoja
Simba Mabingwa watetezi wa Kombe la Shirikisho la TFF - ASFC. Wametetea taji la msimu wa 2020 walilotwaa baada kuibuka kidedea dhidi ya Namungo FC bao 2-1 Sumbawanga Rukwa.
Simba wakiwa dimba la Lake Tanganyika, Kigoma…
Kocha Gomes asema Simba haiwezi kufanya makosa mara mbili
Kocha Mkuu wa Simba Didier Gomes Da Rosa ajinasibu kuondoka na ushindi dhidi ya Watani wa Jadi Yanga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la TFF utakaopigwa kesho Jumapili Julai 25 dimba la Lake Tanganyika kuanzia saa 10 jioni.…
Dimba la Lake Tanganyika kuwaka moto dakika 90, lakamilika
Kwa taratibu za Shirikisho la Kandanda duniani Fifa, klabu mgeni anatakiwa kufanya mazoezi katika uwanja uliopangwa kutumika kwenye mchezo husika siku moja kabla, klabu ya Simba na Yanga kwa sababu zote ni ngeni mjini Kigoma Leo Jumamosi…
Coastal Union yasalia VPL, Mgunda ajisuta mwenyewe
Vijana wa Juma Mgunda Coastal Union wamelazimika kupitia mlango wa mechi za mtoano kwenda kucheza michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao pamoja na kupokea kiasi cha milioni 500 kutokana na haki za matangazo.
Coastal…
Azam FC yaachana na Niyonzima, Chirwa na Monzinzi
Uongozi wa Azam FC umefikia maamuzi ya kusitisha mikataba ya wachezaji watatu huku Obrey Chirwa kandarasi yake imemalizika ndani ya Wanarambaramba Azam waliopo nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Kupitia taarifa iliyotolewa na…
Bila barakoa hauingii uwanjani kuwatazama Yanga, Simba Kigoma
Kuelekea mtanange wa fainali ya Kombe la Shirikisho la TFF baina ya Yanga na Simba, Serikali mkoani Kigoma imewataka mashabiki wa soka wanaoendelea kuwasili mkoani humo, kuvaa barakoa na kunawa mikono pamoja na kuchukua tahadhari nyingine…
Mwenyekiti wa Waamuzi apinga ombi la Yanga kuelekea fainali ya ASFC Kigoma
Muda mfupi baada ya klabu ya Yanga ya Jijini Dar es Salaam kutoa malalimiko kwa Shirikisho la Kandanda Tanzania Bara juu ya kumchagua mwamuzi wa kati Ahmed Arajiga ambaye amechezesha mechi tatu za Simba, Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi,…