Browsing Category
TPL
Simba waweka kando kasheshe la debi na kuangazia macho kibarua kikali cha Ligi ya Mabingwa Afrika
Vinara na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania klabu ya Simba inatarajia kukwea pipa Leo Mei 10 kuelekea Afrika Kusini kwenye mtanange wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs.
Klabu hiyo inayonolewa na…
KMC kuchuana vikali na Namungo Ruangwa Lindi VPL
Kikosi cha KMC FC kesho Jumapili Mei 9, kitashuka dimba la Majaliwa Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara dhidi ya Namungo, utakaochezwa saa 16:00 jioni huku Kocha msaidizi wa Kikosi hicho Habibu Kondo…
Simba washangazwa kutocheza mechi yao na Yanga
Kufuatia mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya wenyeji Simba dhidi ya wageni Yanga uliopangwa kupigwa leo Jumamosi Mei 8 kuahirishwa Simba wamesema nao pia hawajui kilichotokea ingawa walijiandaa vizuri.
Ni Yanga waliamua kuondoka…
Simba, Yanga zagonganishwa vichwa kwa Mkapa
Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na Yanga uliotarajiwa kuchezwa leo Mei 8, 2021 katika uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam umepigwa kalenda.Sababu kubwa ya mchezo wa leo kuahirishwa ni kutokana na mabadiliko ya muda wa…
Hazard aomba radhi mashabiki wa Real Madrid kwa kuonekana akicheka na wachezaji wa Chelsea baada ya…
Mshambuliaji wa Real Madrid Eden Hazard amewaomba msamaha mashabiki wa timu yake kutokana na picha iliyomuonyesha akicheka pamoja na wachezaji wa Chelsea baada ya kutolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya nusu…
Simba kamili gado kuwavaa Yanga
Katika kuhakikisha klabu ya Simba inatetea taji la Ligi Kuu Tanzania Bara uongozi wa timu hiyo umesema ni muhimu kushinda mechi zake zote hasa mtanange wake dhidi ya Yanga utakaopigwa dimba la Mkapa Jijini Dsm Mei 8.
Simba ambao…
Kocha wa Yanga asema hana hofu na Simba
Kocha Mkuu wa Yanga Nassredine Al Nabi amesema kuwa timu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ni timu nzuri ila hana hofu kuelekea mchezo wa kesho Jumamosi Uwanja wa Mkapa.
Nabi kesho atakutana na Gomes wa Simba katika mchezo…
Gomes wa Simba ang’aa Aprili Ligi Kuu VPL, atwaa tuzo
Kocha Mkuu wa Simba SC Didier Gomes Da Rosa ameushinda tuzo ya kocha bora wa mwezi wa nne kwa kuwashinda Zuber Katwila wa Ihefu na Mathias Lulle wa Mbeya City.
Gomes amewashinda wenzake kutokana na mechi tano za mwezi huo ameshinda zote…
Chama awabwaga Prince Dube, Roth tuzo ya VPL
Nyota wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Clatous Chama amechaguliwa kuwa
Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL), msimu wa 2020/21 baada ya kuwabwaga Prince Dube na Rafael Daud.
Chama ametwaa tuzo hiyo…
Usalama waimarishwa kuitazama Simba, Yanga Jumamosi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limejipanga vyema kuimarisha usalama katika mechi ya Watani wa Jadi baina ya Simba na Yanga katika Dimba la Benjamini Mkapa.
Mechi hiyo yenye historia lukuki, imepangwa kuchezwa…