- Home
- EPL Fixtures
EPL Fixtures | Amani Sports News
Habari za hivi karibuni
Arsenal imeshinda mechi yake ya Ligi Kuu nchini England dhidi ya Leicester City kwa goli 3-1 mtanange uliopigwa dimba la King Power Leo Jumapili. Kikosi cha kocha Mikel Arteta ambacho kinakamata nafasi ya 10 kwenye … Read More
Vinara wa Ligi Kuu nchini Italia Serie A Inter Milan wameondoka na alama tatu dhidi ya Genoa huku magoli yote matatu yakifungwa na wachezaji wa zamani wa Manchester United. Romelu Lukaku alifunga goli la kwanza … Read More
Gareth Bale ametuma salamu kwa kocha wake Jose Mourinho baada ya kufunga goli mbili katika ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Burnley mtanange wa Ligi Kuu nchini England na kutengeneza mazingira ya kufuzu hatua ya … Read More
Manchester United imeendelea kupoteza matumaini ya kubeba Kombe la Ligi Kuu nchini England baada ya kuangusha alama mbili Leo mbele ya Chelsea katika mchezo uliopigwa dimba la Stamford Bridge na kumalizika kwa sare tasa Kikosi … Read More
Maafisa wa riadha wa Kenya wamesema nchi hiyo itapeleka timu ya mbio ndefu iliyotangazwa mwaka jana kwa ajili ya mashindano yalioahirishwa ya michezo ya kimataifa ya Olimpiki mjini Tokyo. Timu hiyo inayoongozwa na bingwa mtetezi … Read More
Kiungo wa Yanga, Carlos Carlinhos amewaomba msamaha mashabiki na viongozi wa Yanga kwa kitendo chake cha kumpiga ngumi mchezaji wa Ken Gold katika mchezo wa hatua ya 32 ya Kombe la Shirikisho uliopigwa dimba la … Read More
Leicester City wako hatua nzuri kwenye mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa timu hiyo na England Harvey Barnes, 23, ya kumuongeza mkataba mpya, Liverpool na Manchester United zinatajwa kuwania saini yake. Liverpool wanatajwa kuanza kufikiria uwezekano wa kumchukua … Read More
Robert Lewandowski na Serge Gnabry kila mmoja alifunga goli mbili wakiisaidia Bayern Munich kushinda dhidi ya Cologne katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga. Eric Maxim Choupo-Moting alifunga akaunti ya magoli kwa Bayern kabla … Read More