- Home
- Europa League Results
Europa League Results | Amani Sports News
Habari za hivi karibuni
Timu ya Taifa ya Uganda – The Cranes imepoteza mchezo wa kwanza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Bingwa Afrika CHAN dhidi ya Togo kwa goli 2-1 mchezo uliokuwa mgumu na mzuri ukiwa na … Read More
Kiungo mshambuliaji wa Manchester City Kevin de Bruyne atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa mpaka wiki sita kutokana na majeruhi ya nyama za paja. Taarifa hiyo imetolewa na kocha mkuu wa Manchester City Pep … Read More
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania klabu ya Simba imesema kabla ya Jumatano ambapo mashindano ya Simba Super Cup yatakuwa yanaanza watakuwa wamemtambulisha kocha wao mpya ingawa kuanzia kesho jopo saidizi litaanza kutangazwa kesho. … Read More
Nyota wa klabu ya Yanga Mrundi Fiston Aboul Razak atatua rasmi nchini Tanzania kesho Jumamosi kwa ajili ya kujiandaa na mechi za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu nchini Tanzania VPL baada ya kusajiliwa katika … Read More
Leicester City wamefuta uwezekano wa kumsajili kwa mkopo kiungo mshambuliaji wa Inter Milan na Denmark Christian Eriksen, 28, kutokana na gharama za mchezaji huyo. Bayern Munich wamethibitisha kuwa kwenye uhitaji wa mlinzi wa kati wa RB Leipzig … Read More
Vinara wa Ligi Kuu nchini Hispania Atletico Madrid wameendelea na mwendo bora katika kuwania taji la La Liga baada ya Jana Alhamis kufanikiwa kuondoka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Eibar. Mshambuliaji wa zamani … Read More
Liverpool imeangukia pua mbele ya Burnley baada ya kukubali kichapo cha goli 1-0 nyumbani Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini England uliopigwa Jana Alhamis, kipigo kinachomaanisha kuwa rekodi ya kutopoteza mechi 68 Anfield inavunjika … Read More
Mwandishi mkongwe wa Hispania Guillem Balague anasema klabu ya Real Madrid tayari imeona uongozi bora wa kocha Zinedine Zidane umefikia tamati lakini wanasubiri mpaka mwishoni mwa msimu huu kwa ajili ya kumfuta kazi kocha huyo. … Read More