- Home
- KPL Fixtures
Habari za hivi karibuni
Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekamilisha droo ya mashindano ya Afcon U-20 ambayo imefanyika rasmi leo Januari 25, 2021 mjini Yaounde nchini Cameroon. Droo hiyo ilifanyika huku kukiwa na timu 12 kutokea vyama sita … Soma Zaidi
Klabu ya Chelsea imemfuta kazi rasmi kocha wao mkuu Frank Lampard baada ya miezi 18 pekee ambayo amehudumu, huku kocha wa zamani wa Paris St-Germain Thomas Tuchel akitajwa kuchukua mikoba yake. Lampard, 42, anaiacha Chelsea … Soma Zaidi
Baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Arsenal kwenda katika klabu ya Fenerbahce ya Uturuki kiungo mshambuliaji wa Kijerumani Mesut Ozil amesema Arsenal itabakia moyoni mwake daima. Ozil mwenye umri wa miaka 32 amejiunga na klabu … Soma Zaidi
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Ajax na sasa Barcelona Frenkie de Jong ameisaidia timu yake kushinda mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga dhidi ya Elche kwa goli 2-0. De Jong alikwamisha mpira nyavuni … Soma Zaidi
Baada ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania Simba SC, Didier da Rosa ameanza rasmi kukinoa kikosi hicho kinachojiandaa na mashindano ya Simba Super Cup pamoja na … Soma Zaidi
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona Arthur Melo ameisaidia timu yake mpya ya Juventus katika ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Bologna katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia na kuendelea kutoa presha kwa … Soma Zaidi