- Home
- La Liga Fixtures
Habari za hivi karibuni
Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekamilisha droo ya mashindano ya Afcon U-20 ambayo imefanyika rasmi leo Januari 25, 2021 mjini Yaounde nchini Cameroon. Droo hiyo ilifanyika huku kukiwa na timu 12 kutokea vyama sita … Read More
Klabu ya Chelsea imemfuta kazi rasmi kocha wao mkuu Frank Lampard baada ya miezi 18 pekee ambayo amehudumu, huku kocha wa zamani wa Paris St-Germain Thomas Tuchel akitajwa kuchukua mikoba yake. Lampard, 42, anaiacha Chelsea … Read More
Baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Arsenal kwenda katika klabu ya Fenerbahce ya Uturuki kiungo mshambuliaji wa Kijerumani Mesut Ozil amesema Arsenal itabakia moyoni mwake daima. Ozil mwenye umri wa miaka 32 amejiunga na klabu … Read More
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Ajax na sasa Barcelona Frenkie de Jong ameisaidia timu yake kushinda mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania La Liga dhidi ya Elche kwa goli 2-0. De Jong alikwamisha mpira nyavuni … Read More
Baada ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania Simba SC, Didier da Rosa ameanza rasmi kukinoa kikosi hicho kinachojiandaa na mashindano ya Simba Super Cup pamoja na … Read More
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona Arthur Melo ameisaidia timu yake mpya ya Juventus katika ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Bologna katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Italia na kuendelea kutoa presha kwa … Read More
Manchester United imefanikiwa kushinda mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Liverpool katika mchezo uliopigwa dimba la Old Trafford Jumapili kwa ushindi wa goli 3-2 huku mshindi akiwa ni kiungo mshambuliaji raia wa Ureno Bruno … Read More
Bayern Munich imetanua uongozi wake kileleni kwa pointi saba dhidi ya timu iliyo nafasi ya pili baada ya kuichapa Schalke 04 goli 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ujerumani Bundesliga. Mpira wa kichwa wa … Read More