Migne aridhishwa na sare dhidi ya Ethiopia
Kocha wa Timu ya taifa ya soka ya Kenya Harambee Stars, Sebastian Migne amesema ameridhishwa na pointi moja waliyopata katika mchezo wao wa mkondo wa kwanza dhidi ya Ethiopia siku ya Jumatano jijini Addis Ababa. Stars walitoka sare ya bila…