Ronaldo aipa ushindi Ureno jioni, agusa anga la Sergio Ramos
Cristiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji katika michezo ya timu za taifa kwa upande wa wanaume baada ya kufunga goli mbili katika ushindi muhimu wa bao 2-1 walioupata Ureno dhidi ya Jamhuri ya Ireland kuwania kufuzu Kombe la Dunia…