Dortmund yakamata usukani
Borussia Dortmund ilitoka nyuma mabao mawili kwa sifuri na kuilaza Bayer Leverkusen mabao manne kwa mawili. Dortmund sasa ndio timu pekee katika Bundesliga ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa.
Ushindi huo umewaweka vijana hao wa…