Azam, Simba zaiwachia kibarua Yanga
"HAKUNA KUREMBA" Unaweza kutumia msemo huo kwa sasa katika mbio za taji la ligi kuu ya Tanzania (TPL) Msimu wa 2018/2019 kwa Mafarasi watatu: Yanga, Simba na Azam ambao dhahiri shahiri wanaonyesha mmoja kati ya hao anaweza akabeba taji…