Browsing Category
Uncategorized
Man United Yapigwa na Real Sociedad
Manchester United imeangukia na mzigo wa bao kufuatia kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa Ligi ya Europa uliochezwa uwanja wa Old Trafford Alhamis.
Ukiwa mchezo wa kwanza hatua ya makundi ya michuano…
Kenya Yachapwa 16-0 na New Zealand michezo ya Jumuiya Ya Madola
Timu ya taifa ya Kenya ya mpira wa magongo imeanza vinaya kampeni ya kuwania ubingwa wa mashindano ya Jumuiya ya Madola - Commonwealth kufuatia kukubali kichapo cha bao 16-0 dhidi ya New Zealand mchezo wa kwanza wa Kundi B uliochezwa Chuo…
Giggs Abwaga Manyanga Wales
Shirikisho la Kandanda nchini Wales linakusudia kuanza mchakato wa kumpata kocha mpya baada aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ryan Giggs kutangaza kuaachana na timu kwa sababu maalumu.
Giggs mwenye umri wa miaka 48, mchezaji wa zamani wa…
SDT Yabatilisha Maamuzi ya Kamati ya Mashindano Kenya
Taasisi ya kutoa suluhu michezoni (SDT) nchini Kenya imebatilisha maamuzi ya Kamati ya mashindano ya kandanda nchini humo ya kutoa ushindi wa goli mbili na alama tatu kwa Vihiga Bullets FC dhidi ya timu mwenyeji Gor Mahia pamoja na kucheza…
Man City kucheza na Peterborough, Droo Nzima Raundi ya Tano Kombe la FA
Manchester City wamepangwa kucheza na timu ya Championship Peterborough United katika mchezo wa raundi ya tano ya Kombe la FA England.
City walifika hatua hiyo baada ya kushinda mechi yao dhidi ya Fulham wakati Peterborough wakiifunga…
Azam watoa adhabu kali kwa Yosso Boys, waitwanga 5-1 Kombe la Mapinduzi
Baada ya kuanza chini katika kiwango, Azam FC imekamilisha mechi zake za Kundi A Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa mnono wa goli 5-1 dhidi ya wenyeji, Yosso Boys jioni ya Leo Jumamosi Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Mabao ya Azam FC…
Johnnie Walker Classic Golf Series Returns
Kenya Breweries Limited (KBL) through its premium spirits brand Johnnie Walker has announced the return of the Johnnie Walker Classic Golf Series.
The series dubbed “Road to Gleneagles” will traverse twenty golf clubs across the country…
Tetesi za Mastaa Ulaya; Donny van de Beek akubali kuondoka Man United, Ronaldo kutumika chambo kwa…
Tottenham na Manchester City wameambiwa kuwa wanaweza kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Serbia na klabu ya Fiorentina Dusan Vlahovic, 21, katika dirisha dogo la Januari lakini lazima mpunga wa pauni milioni 70 uwekwe mezani.
Kiungo…
CAF Champions League: Vihiga Queens stun Asfar to keep semis hopes alive
Vihiga Queens are one match away from progressing to the semifinals of the ongoing CAF Women’s Champions League after upsetting Asfar of Morocco 2-0 in Cairo, Egypt on Tuesday.
Violet Wanyonyi pounced on Jentrix Shikangwa's rebound to…
Awour praised for her Woman of the Match performance against Mamelodi Sundowns in CAF CL
Harambee Starlets goalkeeper Lilian Awour has received praises from all quarters for her impressive performance despite Vihiga Queens’ 1-0 loss to Mamelodi Sundowns in their opening Group B match of the CAF Champions League at El Salam…