Browsing Category
AFCON
KCCA yatinga fainali ya Kombe la CECAFA
Kinda wa Uganda Allan Okello amefanikiwa kuifikisha fainali klabu ya KCCA baada ya kufunga goli 2 katika ushindi wa goli 4-3 katika muda wa ziada baada ya sare ya 2-2 kwenye muda wa kawaida dhidi ya Green Eagles ya Zambia nusu fainali ya…
Tanzania kundi sawa na Tunisia mechi za kufuzu Afcon 2021
Timu ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi J katika kuwania nafasi ya kufuzu kwa timu mbili za juu zitakazoshiriki katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon mwaka 2021 nchini Cameroon kuanzia mwezi Juni.
Tanzania ikiwa imetoka…
Ighalo aipa Nigeria shaba dhidi ya Tunisia
Goli pekee la mshambuliaji Odion Ighalo wa Nigeria limeipa ushindi Super Eagles na kushinda kasi ya kuwania nafasi ya tatu ya mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika Afcon 2019 nchini Misri baada ya kuitungua Tunisia goli 1-0.
Ighalo,…
Mshindi wa tatu Afcon kujulikana kati ya Nigeria na Tunisia
Nigeria inashuka dimbani leo kumenyana vikali na Tunisia kusaka nafasi ya tatu angalau kurejesha furaha ya kushiriki mashindano ya Afcon 2019 katika mchezo utakaofanyika dimba la As Salaam leo Jumatano kuanzia saa 22:00.
Nigeria inaingia…
Mahrez aiadhibu Nigeria na kuipeleka Algeria fainali
Shuti la mpira freekick la dakika za nyongeza lilopigwa na Winga wa Manchester City Riyad Mahrez limeipeleka Algeria fainali ya Afcon 2019 nchini Misri katika mchezo uliochezwa dimba la Kimataifa Cairo.
Mchezo ukiwa unaelekea kwenye…
Senegal yatinga fainali kwa kuifunga Tunisia
Senegal imefuzu kuingia fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika - Afcon 2019 baada ya kupata ushindi (1-0) dhidi ya Tunisia katika muda wa nyongeza baada ya suhulu kwenye dakika 90.
Tmu zote zilipata penati kwenye dakika za…
Senegal kupepetana na Tunisia nusu fainali
Usiku wa dei haukawii kufika katu. Baada ya mapumziko ya siku mbili, leo hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika Afcon 2019 kuendelea tena ambapo Senegal ataikaribisha Tunisia.
Katika majira ya 1 usiku, Simba wa…
Nigeria kukwaruzana na Algeria nusu fainali
Nusu fainali ya pili ya Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon 2019 itafanyika leo Jumapili Julai 14 katika dimba la Kimataifa la Cairo kuanzia majira ya saa 4 usiku ambapo Nigeria itaikaribisha Algeria.
Algeria haijapoteza mchezo hata mmoja…
Safari ya matumaini kwa Madagascar yaishia njiani
Tunisia imetinga nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika - Afcon 2019 baada ya kuifunga timu iliyokuwa ya kushangaza kwenye michuano hii Madagascar kwa goli 3-0 katika mchezo uliofanyika dimba la Al Salaam.
Ushindi wa Tunisia…
Ivory Coast hoi mikononi mwa Algeria
Ivory Coast imeondoshwa rasmi kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon 2019 baada ya kufungwa 4 - 3 na Algeria. Ni baada ya mchezo wao wa robo fainali uliofanyika leo Alhamis Julai 11 na kushuhudia dakika 120 zikimalizika kwa sare ya…