Browsing Category
AFCON
Taifa Stars yawakaribisha mashabiki kwa Mkapa kuitazama mbele ya Tunisia
Timu ya taifa ya Tanzania "Taifa Stars" kesho Jumanne itakuwa uwanjani kusaka alama tatu muhimu baada ya kukusanya alama 3 pekee kwenye michezo mitatu ambayo imecheza ya kundi J huku ikiambulia vipigo viwili.
Taifa Stars ambayo inanolewa…
Staa wa Liverpool Mane alipeleka Senegal AFCON 2022
Staa wa Liverpool Sadio Mane ameipeleka timu yake ya taifa ya Senegal katika fainali za Kombe la Mataifa barani Afrika AFCON 2022 baada ya kufunga goli pekee na la ushindi dhidi ya Guinea-Bissau.
Kwenye mchezo huo, Mane aliweka mpira…
CAF kuamua hatima ya mashindano ya Afrika kutokana na janga la corona
Maafisa wakuu wa kandanda la Afrika watafanya mkutano wa video kesho Jumanne kujadili hatima ya mashindano kutokana na janga la virusi vya corona, ambalo limesitisha kandanda tangu Machi.
Baadhi ya masuala ya kujadiliwa na rais wa…
Rais Magufuli atafakari kurudisha michezo Tanzania
Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amesema idadi ya wagonjwa wa Virusi vya Corona katika vituo vilivyotengwa imepungua sana, hivyo anaangalia wiki inayoanza kesho, kama hali itaendelea kuwa hivi, ataamua kufungua vyuo na kuruhusu…
Infantino apendekeza Afcon iandaliwe kila baada ya miaka 4
Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Gianni Infantino amependeza michuano ya kuwania ubingwa baina ya mataifa ya Afrika maarufu kama AFCON, ichezwe kila baada ya miaka minne, badala ya miwili ilivyo sasa.
Infatino ametoa kauli hii…
CAF: Tarehe za michuano ya Afcon 2021 hazijaamuliwa
Shirikisho la soka barani Afrika linasema tarehe za kufanayika kwa michuano ya AFCON mwaka 2021 nchini Cameroon, hazijaamuliwa.
Hatua hii imezua maswali, kuhusu uwezekano wa kurejea kwa michuano hiyo katika ratiba ya zamani ya mwezi…
Taifa Stars yawakaanga Equatorial Guinea
Tunisia iliizaba Libya 4 - 1 na kuanza kampeni yake ya kutinga mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika - Afcon 2021 kwa ushindi mnono jana. Ushindi huo unawaweka Tunisia kileleni mwa Kundi J mbele ya Tanzania kwa faida ya mabao…
Algeria yatawala tuzo za wachezaji binafsi Afcon
Licha ya kubeba taji la pili la Afcon katika historia ya taifa, Algeria wametawala pia hata kwenye tuzo ama zawadi binafsi ya wachezaji katika vipengele mbalimbali vya mashindano hayo yaliyofikia tamati Ijumaa nchini Misri.
Kiungo wa…
Mane, Mahrez ndani ya kikosi bora cha Afcon 2019
Mashindano ya Afcon 2019 yamefikia tamati Ijumaa ya Julai 19 kwa Algeria kutangazwa kuwa Mabingwa wapya wa michuano hiyo baada ya kuifunga Senegal kwa goli 1-0 katika dakika 90 zilizomalizika kwenye dimba la Kimataifa Cairo. Ushindi wa…
Algeria ndio mabingwa wa Afrika 2019
Goli la dakika ya kwanza ya mchezo la Baghdad Bounedjah limeipa Algeria taji la pili Afrika baada ya lile la mwaka 1990. Goli hilo limeipa ushindi mbele ya Senegal kwa goli 1-0 katika mchezo uliochezwa dimba la Kimataifa Cairo Ijumaa usiku.…